A teller
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 489
- 687
Wakuu Wasalaam,
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 23 mwezi huu naanza kusupply kuku wa kienyeji kutokea Singida kwa jiji la Dodoma tu.
Uwezo wangu wa kusupply kwa wiki itakuwa ni kuku 250, kuku 50 kwa kila siku yaani jumamosi hadi jumatano (250).
Hivyo basi nahitaji wanunuzi watano ambao kila mmoja kwa wiki namletea kuku hamsini au mteja mmoja ambae pia kila siku moja ya wiki atakuwa anapokea kuku hamsini.
Bei ya kuku ni 12000/= au 13,000 au 14000 (inategemeana) hivyo basi kwa wale wahitaji wanaweza kuanza kuweka order zao na wangependa wapokee siku gani ya wiki.
Kwa mawasiliano nipigie kwa namba +255 758461664
Nakuhakikishia kukuuzia kuku na wala sio vitoto vya kuku. Karibu.
Napenda kuwajulisha kuwa tarehe 23 mwezi huu naanza kusupply kuku wa kienyeji kutokea Singida kwa jiji la Dodoma tu.
Uwezo wangu wa kusupply kwa wiki itakuwa ni kuku 250, kuku 50 kwa kila siku yaani jumamosi hadi jumatano (250).
Hivyo basi nahitaji wanunuzi watano ambao kila mmoja kwa wiki namletea kuku hamsini au mteja mmoja ambae pia kila siku moja ya wiki atakuwa anapokea kuku hamsini.
Bei ya kuku ni 12000/= au 13,000 au 14000 (inategemeana) hivyo basi kwa wale wahitaji wanaweza kuanza kuweka order zao na wangependa wapokee siku gani ya wiki.
Kwa mawasiliano nipigie kwa namba +255 758461664
Nakuhakikishia kukuuzia kuku na wala sio vitoto vya kuku. Karibu.