Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora...
2 Reactions
16 Replies
931 Views
Nimeshuhudia mahujaji Wengi wanaojihusisha na Siasa pamoja na kuenda Miji mitakatifu kutubu bado wanaendelea kula Rushwa na kusema Uwongo. Tena wengine Wana kesi kabisa Mahakamani. Kwanini...
6 Reactions
29 Replies
1K Views
MBUNGE JAFARI CHEGE AHOJI WAKURUGENZI WALIOSABABISHA UPOTEVU WA FEDHA WAMECHUKULIWA HATUA GANI? "Nampongeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa namna anavyowajibika...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
MBUNGE ALOYCE KWEZI: MPANGO WA MAENDELEO YA TAIFA 2024-2025 SERIKALI IJENGE BARABARA YA MPANDA - KALIUA - KAHAMA "Nampongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya...
1 Reactions
2 Replies
794 Views
Mbunge Mpina asema hii nchi inapigwa kila kona na zaidi ya Tsh. 30 Trilioni zimepigwa na nyingine zimesafirishwa/ kutoroshwa nje ya nchi. Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba PhD amesema anachosema...
11 Reactions
130 Replies
13K Views
Wadau nawasabahi. Naomba niingie kwenye madam moja kwa moja. Hoja yangu ni juu ya utekelezaji wa hukumu za mahakama. Kumekuwa na utaratibu wa kupuuza utekelezaji wa hukumu zilizotolewa na mahakama...
0 Reactions
3 Replies
480 Views
28 October 2023 Pemba, Zanzibar MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA MTAMBWE PEMBA, ACT-WAZALENDO WAIBUKA KIDEDEA Picha: Dr. Mohamed Ali Suleiman wa ACT-Wazalendo akizungumza wakati wa kampeni...
2 Reactions
39 Replies
9K Views
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Lijualikali ameagiza Jeshi la Polisi kumsaka popote alipo na kumkamata Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini Godbless Lema ili ahojiwe kwa...
8 Reactions
31 Replies
5K Views
Jana kupitia taarifa ya habari ya saa mbili usiku nilishuhudia aliyekuwa Mkurugenzi wa Kigoma Ujiji akifikishwa Mahakamani na wenzake kumi na moja kwa ajili ya upotevu wa shillingi takriban...
1 Reactions
8 Replies
573 Views
PhD holder yoyote midahalo ni sehemu ya maisha kama ilivyokuwa kwa Prof. Lipumba huko Duniani. Ningekuwa Dr. Mwigulu PhD nisingeipoteza fursa hii adhimu ya Mdahalo kati ya Waziri wa Fedha wa CCM...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Misingi ya sheria hizi imeanzia mwaka wa 1949 katika mkutano wa kimataifa wa kidiplomasia ulifanya marekebisho katika sheria nyengine za kimataifa za hapo awali Vita vinapotokea katika maeneo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Akihutubia katika chuo kimoja huko India JAWAHARLAL NEHRU UNIVERSITY, nchini India Rais amemsimamisha na kumtambulisha mwanae wa tatu Abdul kwenye mkutano huo. Ikumbukwe kuwa mwana...
15 Reactions
133 Replies
17K Views
ACT Wazalendo 2015 walifanikiwa kupata Halmashauri ya Kigoma ambayo sasa imerithiwa na CCM na ndio inaongoza kwa Wizi na Ufisadi. Niwapongeze Chadema ambao Iringa, Mbeya, Moshi nk...
0 Reactions
1 Replies
468 Views
Jumla ya watu 11 wakiwemo watumishi saba wa manispaa ya Kigoma Ujiji na maafisa wawili wa Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamefikishwa mahakamani katika mahakama ya...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndugu zangu watanzania, Napenda kuwaambia ukweli wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM , halmashauri kuu ya CCM na kamati kuu ya CCM kuwa kwa vyovyote iwavyo ni lazima muhakikishe kuwa Rais samia ndiye...
6 Reactions
95 Replies
4K Views
Polisi wa usalama barabarani wanatuuzia sticker za wiki ya usalama barabarani kwa sh 5,000. Kwa idadi ya magari nchini, pesa inayokusanywa ni nyingi, kwanini pesa hiyo isilipwe kwa mfumo wa...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb), Waziri Wa Nchi, Ofisi Ya Rais, Mipango Na Uwekezaji, akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2024/2025 amesema Kiwango cha...
4 Reactions
170 Replies
7K Views
Baadhi ya waumini wa kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania(KKKT) katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani wametoa wito mzito kwa Askofu Alex Malasusa kuliomba radhi kanisa la Lutherani hapa...
8 Reactions
67 Replies
14K Views
Ule msema wa mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote ndo kinachokwenda kumtokea Mwenyekiti wa Chadema Freeman Elikaeli Mbowe na Makamu mwenyekiti wake Tundu Antipas Lissu kwa kile kinachoonekana...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Serikali imewahakikishia kupata mikopo wanafunzi 226 ambao wametemwa katika ufadhili wa masomo wa Samia ‘Samia Scholarship,’ baada ya kushindwa kukidhi vigezo vya kuendelea kupata ufadhili huo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom