Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora...
Nimeshuhudia mahujaji Wengi wanaojihusisha na Siasa pamoja na kuenda Miji mitakatifu kutubu bado wanaendelea kula Rushwa na kusema Uwongo.
Tena wengine Wana kesi kabisa Mahakamani.
Kwanini...
MBUNGE JAFARI CHEGE AHOJI WAKURUGENZI WALIOSABABISHA UPOTEVU WA FEDHA WAMECHUKULIWA HATUA GANI?
"Nampongeza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa namna anavyowajibika...
MBUNGE ALOYCE KWEZI: MPANGO WA MAENDELEO YA TAIFA 2024-2025 SERIKALI IJENGE BARABARA YA MPANDA - KALIUA - KAHAMA
"Nampongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya...
Mbunge Mpina asema hii nchi inapigwa kila kona na zaidi ya Tsh. 30 Trilioni zimepigwa na nyingine zimesafirishwa/ kutoroshwa nje ya nchi.
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba PhD amesema anachosema...
Wadau nawasabahi. Naomba niingie kwenye madam moja kwa moja. Hoja yangu ni juu ya utekelezaji wa hukumu za mahakama. Kumekuwa na utaratibu wa kupuuza utekelezaji wa hukumu zilizotolewa na mahakama...
28 October 2023
Pemba, Zanzibar
MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA MTAMBWE PEMBA, ACT-WAZALENDO WAIBUKA KIDEDEA
Picha: Dr. Mohamed Ali Suleiman wa ACT-Wazalendo akizungumza wakati wa kampeni...
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Peter Lijualikali ameagiza Jeshi la Polisi kumsaka popote alipo na kumkamata Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini Godbless Lema ili ahojiwe kwa...
Jana kupitia taarifa ya habari ya saa mbili usiku nilishuhudia aliyekuwa Mkurugenzi wa Kigoma Ujiji akifikishwa Mahakamani na wenzake kumi na moja kwa ajili ya upotevu wa shillingi takriban...
PhD holder yoyote midahalo ni sehemu ya maisha kama ilivyokuwa kwa Prof. Lipumba huko Duniani.
Ningekuwa Dr. Mwigulu PhD nisingeipoteza fursa hii adhimu ya Mdahalo kati ya Waziri wa Fedha wa CCM...
Misingi ya sheria hizi imeanzia mwaka wa 1949 katika mkutano wa kimataifa wa kidiplomasia ulifanya marekebisho katika sheria nyengine za kimataifa za hapo awali
Vita vinapotokea katika maeneo...
Akihutubia katika chuo kimoja huko India JAWAHARLAL NEHRU UNIVERSITY, nchini India Rais amemsimamisha na kumtambulisha mwanae wa tatu Abdul kwenye mkutano huo.
Ikumbukwe kuwa mwana...
ACT Wazalendo 2015 walifanikiwa kupata Halmashauri ya Kigoma ambayo sasa imerithiwa na CCM na ndio inaongoza kwa Wizi na Ufisadi.
Niwapongeze Chadema ambao Iringa, Mbeya, Moshi nk...
Jumla ya watu 11 wakiwemo watumishi saba wa manispaa ya Kigoma Ujiji na maafisa wawili wa Wizara ya Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamefikishwa mahakamani katika mahakama ya...
Ndugu zangu watanzania,
Napenda kuwaambia ukweli wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM , halmashauri kuu ya CCM na kamati kuu ya CCM kuwa kwa vyovyote iwavyo ni lazima muhakikishe kuwa Rais samia ndiye...
Polisi wa usalama barabarani wanatuuzia sticker za wiki ya usalama barabarani kwa sh 5,000.
Kwa idadi ya magari nchini, pesa inayokusanywa ni nyingi, kwanini pesa hiyo isilipwe kwa mfumo wa...
Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb), Waziri Wa Nchi, Ofisi Ya Rais, Mipango Na Uwekezaji, akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2024/2025 amesema Kiwango cha...
Baadhi ya waumini wa kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania(KKKT) katika Dayosisi ya Mashariki na Pwani wametoa wito mzito kwa Askofu Alex Malasusa kuliomba radhi kanisa la Lutherani hapa...
Ule msema wa mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote ndo kinachokwenda kumtokea Mwenyekiti wa Chadema Freeman Elikaeli Mbowe na Makamu mwenyekiti wake Tundu Antipas Lissu kwa kile kinachoonekana...
Serikali imewahakikishia kupata mikopo wanafunzi 226 ambao wametemwa katika ufadhili wa masomo wa Samia ‘Samia Scholarship,’ baada ya kushindwa kukidhi vigezo vya kuendelea kupata ufadhili huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.