Paul Makonda ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa amezungumza hayo akiwa Njombe mjini.
"Na sisi tukimaliza hii ziara tunampelekea ripoti Mwenyekiti wa chama Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tulipita mkoa fulani lakini kule fulani hatufai, na mimi nimesema acha niwe mbaya kwa furaha ya wengi, wala sipati shaka, nilisema jana kitu kilichopandishwa kwa maombi hakishushwi kwa majungu, kwahiyo wale ambao hamfanyi kazi zenu, siku ukiona ya kwamba umekuwa demoted au umetenguliwa na hayo maeneo nilipita mimi usimlaumu Dkt. Samia, usimlaumu Mzee wetu Mpango, usimlaumu Waziri Mkuu ujuwe ni mimi, malengo yetu ni kuhakikisha haki inatawala" -Makonda
Nini maoni yako?
Credit - JamboTv
"Na sisi tukimaliza hii ziara tunampelekea ripoti Mwenyekiti wa chama Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tulipita mkoa fulani lakini kule fulani hatufai, na mimi nimesema acha niwe mbaya kwa furaha ya wengi, wala sipati shaka, nilisema jana kitu kilichopandishwa kwa maombi hakishushwi kwa majungu, kwahiyo wale ambao hamfanyi kazi zenu, siku ukiona ya kwamba umekuwa demoted au umetenguliwa na hayo maeneo nilipita mimi usimlaumu Dkt. Samia, usimlaumu Mzee wetu Mpango, usimlaumu Waziri Mkuu ujuwe ni mimi, malengo yetu ni kuhakikisha haki inatawala" -Makonda
Nini maoni yako?
Credit - JamboTv