Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 265
- 240
Yaani isingekwa hivyo mpaka sasa watu wengi sana wangekuwa wameshaumizwa na Serikali yake. Ona Makonda anavyowachomea watu kwa wazi wazi - ingekuwa kipindi cha JPM wangekuwa wanakamatwa hapo hapo au kutumbuliwa, bila hata undani wa kujua anayowachongea kwaye yana ukweli au hapana. Mama Samia anajua fika wazuri na wabaya wote ni watu wake.
Majizi na Waaminifu wote ni watu wake. Matajiri na Maskini wote ni watu wake. Walio haki na wasio haki wote ni watu wake. Wenye madaraka na wasio na madaraka wote ni watu wake. Wabinyi demokrasia na wataka demokrasia wote ni watu wake,n.k.
Mama huyu aendelee kubarikiwa hekima kama alizokuwa nazo Mfalme Suleiman - tumwombee kwa Mungu aendelee kuwa hivi hivi na asibadilishwe kamwe. Leo katamka maneno ya hekima kubwa kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utatawaliwa na haki tupu, Mwenyezi Mungu asaidie sana kwa hili.
Mama yetu zidi kumtegemea Mwenyezi Mungu katika uongozi wako na yeye ndiyo atakulipa kwa yote hayo uyatendayo. SISI WOTE NI WATU WAKO, kama ilivyo WEWE NA SISI WOTE NI WATOTO WA MUNGU!
Majizi na Waaminifu wote ni watu wake. Matajiri na Maskini wote ni watu wake. Walio haki na wasio haki wote ni watu wake. Wenye madaraka na wasio na madaraka wote ni watu wake. Wabinyi demokrasia na wataka demokrasia wote ni watu wake,n.k.
Mama huyu aendelee kubarikiwa hekima kama alizokuwa nazo Mfalme Suleiman - tumwombee kwa Mungu aendelee kuwa hivi hivi na asibadilishwe kamwe. Leo katamka maneno ya hekima kubwa kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utatawaliwa na haki tupu, Mwenyezi Mungu asaidie sana kwa hili.
Mama yetu zidi kumtegemea Mwenyezi Mungu katika uongozi wako na yeye ndiyo atakulipa kwa yote hayo uyatendayo. SISI WOTE NI WATU WAKO, kama ilivyo WEWE NA SISI WOTE NI WATOTO WA MUNGU!