Kama mliipokea hiyo ahadi nyie ni wajinga sana. Kuendesha bodaboda kunahitaji digrii? Ni dhambi kwa vijana wa taifa hili walio na elimu ya chuo (tertiary education), halafu wanaendesha bodaboda au kulima kwa jembe la mkono au shughuli nyingine kama hizo. Sio dhambi zao kwa vile wao lazima watafute riziki kwa njia yoyote wapate kuishi, lakini ni dhambi kwa viongozi na watunga sera wa taifa hili.Kuna mbunge kwetu aliwahi kuahidi kuwanunulia bodaboda vijana wote watakaosoma hadi kufikia level ya degree jimboni lakini ikabaki story
Wabunge kazi yao kikatiba ni kuisimamia Serikali na kutunga sheria, kazi ya Mbunge sio kuleta Maendeleo, hizi ni hadaaa, na wajinga kama wewe mnaingia king.Huyu mbunge wa kawe ambaye alikuwa napesa mingi sana kiko wapi? Kapata ubunge Kawe ni Hovyo barabara chafu, mbovu, miundombinu ni mibaya, wazo yote ila Mungu anawaona wanasiasa aisee
View attachment 2902106
anawadanganya wapumbavu, nchi ina wajinha wengi lazima wadanganweKuna mbunge kwetu aliwahi kuahidi kuwanunulia bodaboda vijana wote watakaosoma hadi kufikia level ya degree jimboni lakini ikabaki story
Kazi ya Mbunge kikatiba sio kuleta maendelea kama hakuna maendelea hapo muulize Mkrugenzi wa Halimashauri. Mbuge anasimamia Serikali na kutunga sheria.Mbunge wa Vunjo ni ksti ya mizigo Ccm iliyo tuletea. Haja saidia wala kuonekana Mamba Kusini tangu awe mbunge. Na akitokea mtu kusaidia Mamba kusi i humzuia.
Kamuulize Mkurugenzi wa Halimashauri yako, Mbuge haleti maendeleo,Taifa limejaa wajinga sanaMBUNGE WA KIBAMBA,
TUNAMSUBIRI WANANCHI WA MBEZI MSAKUZI - MPIGI MAGOHE MAANA HATUWAHI MUONA TENA TOKA APATE KURA ZETU NA BARABARA AKAPELEKA KWAKE KIBAMBA.
Peleka Mat..ko huko...,Mkurungenzi ndiye anaenda Bungeni kuwakilisha shida/kero za wananchi.Kamuulize Mkurugenzi wa Halimashauri yako, Mbuge haleti maendeleo,Taifa limejaa wajinga sana
Angalia ulivyo mjinga nyie ndio mtaji wa wanasiasa, kasome majukumu ya Mbunge, Hilo la maendeleo sio moja wapo. Nchi imejaaa wajinga sana. Wanawahadaa wajinga kama wewe hapo.Peleka Mat..ko huko...,Mkurungenzi ndiye anaenda Bungeni kuwakilisha shida/kero za wananchi.
Utakuwa unawashwa ww sio bure.Angalia ulivyo mjinga nyie ndio mtaji wa wanasiasa, kasome majukumu ya Mbunge, Hilo la maendeleo sio moja wapo. Nchi imejaaa wajinga sana. Wanawahadaa wajinga kama wewe hapo.
Endeleeni kuwa mtaji, Mwakani huko kwenu mtapata mgombe mpya naye atakuja na swagwa za kuwaletea maendelea mmchague. Wajinga nyiePeleka Mat..ko huko...,Mkurungenzi ndiye anaenda Bungeni kuwakilisha shida/kero za wananchi.