Rugemalira Mutahaba ameaga dunia wiki jana huko “bondeni”. Ruge ali maarufu kama boss Ruge wa staff ya clouds media na watu wengine ambao hawakuwa waajiriwa wa Clouds media.
Ruge alikuwa sort of...
Akiwa Ikulu ndogo Zanzibar leo September mosi 2023 kwenye uapisho wa mawaziri aliowateua Rais Samia amesema mabadiliko aliyoyafanya sio adhabu bali kuboresha. Rais Samia amesema maendeleo lazima...
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.
Nimekuwepo...
Kuna njia nyingi za kummaliza mwanasiasa kisiasa; moja ya njia hizi ni kuteua na kutumbua bila kutoa kupewa sababu ya kuteuliwa na bila sababu ya kutumbuliwa.
Kanda ya Ziwa ni eneo moja wapo...
SHKAMOO MHE. "NABII" GODBLESS LEMA
Kati ya viongozi wa upinzani wote, huyu Mshkaji akiwa anaongea, huwa naacha kila kitu ili kumsikiliza.
"Nabii" Lema ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja na...
- Baada ya Bandari, sasa atuhumiwa kugawa raslimali nyingine kwa Wageni
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAKATI sakata la "Mkataba wa Bandari" likizidi kupamba moto, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha viongozi wateule Ikulu dogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 01 Septemba, 2023.
https://www.youtube.com/watch?v=H04h3n8tXyA...
Hii kauli ya kwamba jeshi letu liko nafasi ya sita kwa ubora duniani hakika wote tumeipenda na kuitamani na INAJADILIKA maana imesemwa kwa uwazi.
Lakini kamanda alisema "nendeni mka Google...
MHE. JANEJELLY NTATE AIBANA SERIKALI KUHUSU SHERIA YA KUTUMA NYARAKA ZA SERIKALI SEHEMU ISIYOHUSIKA HUSUSANI MAGROUP YA WHATSAPP
"Sasa hivi kuna utaratibu wa viongozi au maafisa kufungua group...
Kuna vitu huwa vinachekesha sana kwenye hii nchi yetu, unafikiria kweli tunao watalaamu wa kutosha? Wanaoweza kung’amua mambo na yakawa sawa? Yakaleta tija kwa taifa?
Angalieni hiki kituko, uko...
Bunge la Tanzania Agosti 31, 2023 limeridhia Itifaki ya Biashara ya Huduma ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) ya Mwaka 2012 ambapo pamoja na mambo mengine, itaondoa vikwazo vya...
Wanabodi,
Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!
Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious...
Rais Amevunja Katiba?
Hana Mamlaka ya Kunyang'anya Majukumu ya Waziri Mkuu na Kumgawia Mtu Mwingine.Ingekuwa hivyo Katiba ingeliweka Bayana.
Ibara ya 36(1) ya Katiba ya JMT ina mpa mamlaka Rais...
Na Nulphin Charles Heche
Wakati vijana Kaskazini Magharibi mwa Bara la Afrika wakifanya mapinduzi kuwaondoa madikteta waliodumu kwa muda mrefu kwa msingi wa kuvunja Demokrasia hali ni sawa na...
Ninaandika huu uzi bila kuweka itikadi yangu ya kisiasa huku nikiwa na huzuni. Siku chache tumetaarifiwa kupitia wizara ya katiba na sheria kuwa 51% ya watanzania hawajui chochote kuhusu katiba ya...
Kufuatia kuwepo kwa taarifa za kubuniwa kifaa maalum cha kupima vipaji vya watoto shuleni na moja ya shule jijini Dar es Salaam, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Adolf Mkenda...
Habari, nawasalimi kwa jina la muungano......
Nina kero yangu haswa kwa shule za advance wanaopokea kidato cha tano walimu wakuu wanachukua maamuzi ya kumkataa mtoto kumpokea ikiwa tu hajamaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.