Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ule usemi wa "nyani haoni kundule" umedhihirika pale Katibu Mkuu wa CCM, Abdallahaman Kinana alipowachana wanachama wa CCM katika mkutano alioufanya hapo jana mjini Kigoma kwa kuwaambia wanachama...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo.... Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii... Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college...
14 Reactions
93 Replies
13K Views
Mabadiliko ya mawaziri na wengine kung'olewa yamekuja ghafla na kwa mshangao mkubwa. Lakini kwa wakazi wa jiji la Mwanza ndio wameshangazwa zaidi na kupona kwa Waziri wa Maji kijana alite jaa...
15 Reactions
44 Replies
4K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Abdulrahman Kinana, amesema Tamasha la Kizimkazi limefanikiwa kuwa chachu ya kuimarisha Muungano. Kinana amesema hayo Agosti 31, 2023...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wale Maaskofu Waliosema Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hawajakosa hata kidogo. Sema mambo haya huwa yanachukua mda na kuaanza kuonekana taratibu. Hapa JF wengi tukishapiga makelele toka zamani...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Angalia mwenyewe hizo fedha zilivyo nyingi kuna CFA franc, dola na euro zimo nyumbani kwa mtoto wa kiongozi wa Rais Ali Bongo aliyepinduliwa.
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi pasipo kuwachosha. Rais Dr Samia atajaribu kumuiga Magufuli lakini kamwe hataweza asilani hadi anaondoka madarakani. Wakati Dr Magufuli akiwa Rais...
5 Reactions
58 Replies
4K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 3, leo Agosti 31, 2023. Ratiba: Dua Hati za kuwasilisha Mezani Maswali Hoja za Serikali...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
TUTAJENGA SHULE KUMKUMBUKA PROF. DAVID MASAMBA" - WANANCHI MUSOMA VIJIJINI "Afrika inamfahamu Prof. David Masamba kwa umahiri wake wa lugha ya Kiswahili ni wakati sasa wakufikiria cha kufanya...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Akichangia Bungeni kwenye mjadala wa Kuridhiwa itifaki ya biashara ya Sadc,Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amehoji sababu za serikali kuleta Bungeni itifaki iliyosaisainiwa miaka 12 Iliyopita...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeongeza thamani ya mfuko huo kwa kupitia uwekezaji na kufanikiwa kuwalipa wanufaika 262,09 Jumla ya shilingi Trilioni 8.88, katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia Itifaki ya Biashara ya Huduma ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) ya Mwaka 2012. Itifaki hiyo imeridhiwa Agosti 31, 2023 Bungeni...
0 Reactions
4 Replies
929 Views
Marekani Kupitia Balozi wake Nchini Tanzania amesema Demokrasia ya Kila Nchi lazima iendane na mazingira na tamaduni za Nchi husika. Balozi alikuwa akizungumza kwenye kikao Cha wadau wa...
6 Reactions
46 Replies
7K Views
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Doto Biteko, amewahakikishia Wananchi wa Mkoa Geita kuwa, miradi yote mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha Serikali...
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Wananchi wa Gabon wakiwakumbtia na kuwafurahia Wanajeshi, unafikiri raia wanaweza wafurahia wanaojiita Wanajeshi hapa kwetu hivyo? Hata kama tutajaribu kutetea lkn deep down nafsi zinatusuta...
14 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni historia iliyo wazi kwamba biashara ya utumwa na ukoloni vilihusika kuleta uharibifu mkubwa sana katika bara hili na nchi yetu. Mamilioni ya nguvu kazi walichukuliwa kupelekwa utumwani...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Uteuzi wa Doto Biteko umeambatana na majukumu yake atakayofanya kama Naibu Waziri Mkuu. Majukumu hayo ni ya Waziri Mkuu kwa mujibu wa katiba na cheo cha Naibu Waziri Mkuu hakipo kwenye katiba hii...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Pindi mambo yatakamfika shingoni Mh Majaliwa na kuamua kung'atuka kama Ndugai huku naye akiimba wimbo wa NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA nafasi hiyo itachukuliwa na Mzanzibar tena huenda atakuwa Ndugu...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amekwenda Kituo cha Polisi cha Mwandoya Jimboni Kisesa na kuwashukuru kwa namna walivyomlinda yeye, Ujumbe wake na Mikutano yao muda wote...
17 Reactions
16 Replies
2K Views
TANTRADE yapokea vizimba vya mabanda ya kisasa kwa ajili ya maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa ya Dar es salaam (sabasaba) Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom