Ule usemi wa "nyani haoni kundule" umedhihirika pale Katibu Mkuu wa CCM, Abdallahaman Kinana alipowachana wanachama wa CCM katika mkutano alioufanya hapo jana mjini Kigoma kwa kuwaambia wanachama...
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college...
Mabadiliko ya mawaziri na wengine kung'olewa yamekuja ghafla na kwa mshangao mkubwa. Lakini kwa wakazi wa jiji la Mwanza ndio wameshangazwa zaidi na kupona kwa Waziri wa Maji kijana alite jaa...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Abdulrahman Kinana, amesema Tamasha la Kizimkazi limefanikiwa kuwa chachu ya kuimarisha Muungano.
Kinana amesema hayo Agosti 31, 2023...
Wale Maaskofu Waliosema Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hawajakosa hata kidogo. Sema mambo haya huwa yanachukua mda na kuaanza kuonekana taratibu.
Hapa JF wengi tukishapiga makelele toka zamani...
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi pasipo kuwachosha. Rais Dr Samia atajaribu kumuiga Magufuli lakini kamwe hataweza asilani hadi anaondoka madarakani. Wakati Dr Magufuli akiwa Rais...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 3, leo Agosti 31, 2023.
Ratiba:
Dua
Hati za kuwasilisha Mezani
Maswali
Hoja za Serikali...
TUTAJENGA SHULE KUMKUMBUKA PROF. DAVID MASAMBA" - WANANCHI MUSOMA VIJIJINI
"Afrika inamfahamu Prof. David Masamba kwa umahiri wake wa lugha ya Kiswahili ni wakati sasa wakufikiria cha kufanya...
Akichangia Bungeni kwenye mjadala wa Kuridhiwa itifaki ya biashara ya Sadc,Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amehoji sababu za serikali kuleta Bungeni itifaki iliyosaisainiwa miaka 12 Iliyopita...
Ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeongeza thamani ya mfuko huo kwa kupitia uwekezaji na kufanikiwa kuwalipa wanufaika 262,09 Jumla ya shilingi Trilioni 8.88, katika...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia Itifaki ya Biashara ya Huduma ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) ya Mwaka 2012.
Itifaki hiyo imeridhiwa Agosti 31, 2023 Bungeni...
Marekani Kupitia Balozi wake Nchini Tanzania amesema Demokrasia ya Kila Nchi lazima iendane na mazingira na tamaduni za Nchi husika.
Balozi alikuwa akizungumza kwenye kikao Cha wadau wa...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Doto Biteko, amewahakikishia Wananchi wa Mkoa Geita kuwa, miradi yote mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha Serikali...
Wananchi wa Gabon wakiwakumbtia na kuwafurahia Wanajeshi, unafikiri raia wanaweza wafurahia wanaojiita Wanajeshi hapa kwetu hivyo? Hata kama tutajaribu kutetea lkn deep down nafsi zinatusuta...
Ni historia iliyo wazi kwamba biashara ya utumwa na ukoloni vilihusika kuleta uharibifu mkubwa sana katika bara hili na nchi yetu.
Mamilioni ya nguvu kazi walichukuliwa kupelekwa utumwani...
Uteuzi wa Doto Biteko umeambatana na majukumu yake atakayofanya kama Naibu Waziri Mkuu. Majukumu hayo ni ya Waziri Mkuu kwa mujibu wa katiba na cheo cha Naibu Waziri Mkuu hakipo kwenye katiba hii...
Pindi mambo yatakamfika shingoni Mh Majaliwa na kuamua kung'atuka kama Ndugai huku naye akiimba wimbo wa NIMEKOSA MIMI NIMEKOSA SANA nafasi hiyo itachukuliwa na Mzanzibar tena huenda atakuwa Ndugu...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amekwenda Kituo cha Polisi cha Mwandoya Jimboni Kisesa na kuwashukuru kwa namna walivyomlinda yeye, Ujumbe wake na Mikutano yao muda wote...
TANTRADE yapokea vizimba vya mabanda ya kisasa kwa ajili ya maonesho ya 47 ya biashara ya kimataifa ya Dar es salaam (sabasaba)
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.