Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Hili jambo ninalolizungumza hapa, ni jambo very serious na la kweli, sio jambo la masikhara, kwa sababu mimi binafsi ni shuhuda na mhanga wa jambo kama hili kuwa ni jambo la kweli kabisa ambalo lipo for real!.
Kwa kuwasaidia tuu watu wasijua facts kuhusu nafasi ya urais, rais ni mtumishi wetu, yaani ni mtumishi wa watu, sisi Watanzania ndio mabosi wake, sisi ndio tumemuajiri ili atutumikie, na ni sisi ndio tunao mlipa mshahara na marupurupu yake yote kwa fedha zetu na jasho letu, hivyo hatupaswi kumuogopa, bali tunapaswa kumuheshimu, na kiukweli tunamuheshimu sana!.
Pamoja na heshima yote kwa rais wetu, mamlaka yote, na madaraka yote, rais wetu na yeye pia ni binadamu, sio Mungu na wala sio malaika, hivyo yeye kama binadamu anaweza kukosea tuu kama binadamu wengine wote!, tofauti ni kuwa, kwa vile urais ndio nafasi ya juu kuliko nafasi zote za uongozi, rais anachukuliwa kuwa ndio yuko juu kuliko mtu mwingine yoyote, na wengine wote waliomzunguka, hujiona wako chini yake, hali inayopelekea hata akifanya makosa ya kibinaadamu, hakuna mtu wa kumwambia rais hapa ulikosea!.
Kwa vile mimi ni mmoja wa raia wake, ninajua kuna kosa fulani limendeka kumhusu Edward Lowassa, wakati wa kipindi chake, hivyo kwa heshima na taadhima na kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, namshauri Rais wetu Mheshimiwa sana, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye kiukweli yuko juu, ajinyenyekeshe, aende kumuomba msamaha wa dhati Edward Lowassa kwa kosa awamu yake ililomtendea, kabla ya October 25!.
Msamaha huo sio lazima uwe wa public, anaweza tuu kupanga vile ambavyo ataona inafaa, akutane na Lowassa na kumuomba msamaha kwa kosa hilo lililotendeka, wakasameheana, tarehe 25 October, Watanzania tukaingia kwenye uchaguzi kwa upendo na amani, ili hata ikitokea, Watanzania kwa ridhaa yetu wenyewe, tukiamua kuipumzisha CCM kwa kuiweka pembeni, tuipumzishe kwa upendo na amani, na sio kwa chuki na visasi!.
Jee Kosa lenyewe ni lipi linalompasa Rais Wetu Jakaya Kikwete kumuomba msamaha Edward Lowassa?!.
Hapa sasa ndipo heshima, akili, busara, unyenyekevu, ustaarabu, uungwana, ustahimilivu wa hali wa juu unapotakiwa kutumika, kama ilivyo katika familia zetu, Baba ndie Mkuu wa nyumba, hata akikosea, kuna namna ya kumjulisha kuwa hapa baba umekosea, tena anayemwambia hayo baba sio mtoto na sio mama bali ni wazee wenzie wa rika lake, hivyo kwa ruhusa ya mwana jf huyu, naomba kumleta mzee wa rika la JK,
Namalizia kwa kulitaja jambo lenyewe iwapo JK ataamua kuwa hakuna kosa lolote la kumuomba msamaha Edward Lowassa, then naomba kutoa ushuhuda wangu wa kitu kinachoitwa 'karma' kwa vile mimi karma naijua na iliishanikuta, hivyo baada ya October 25 mimi ndio nitakuwa muhabarishaji wa jf every time 'karma' takes its toll!.
Ushauri wa bure kwa wana jf ambao hamjui kuhusu 'karma', nawasihi jisomeeni tuu uzi huu na kujipitia zenu, msije kujitia kimbelembele kumjibia JK unless you are certain and absolute sure what was the name of the game!, and also you know what 'karma' is and its quosequenses.
Kuna watu watajiapiza hadi maneno kama 'over my dead body' hakuna msamaha wowote wa kuombwa kwa Lowassa, then subirieni baada ya October 25, nitawakumbusha kuhusu uzi huu!.
Kwa ajili tuu ya kukuwekea references niliwahi kusema nini na hatimaye nini kilitokea, nashauri, msibeze au kupuuzia ushauri wowote wa bure hata ukitoka kwa chizi, bali pima hoja za kwenye ushauri huo!.
Kwa wageni wasiomfahamu Pasco wa jf, wanaweza kufikiri hii ndio maea yake ya kwanza kushauri, au kulizungumzia jambo halafu likatokea. Naomba niwatembeze kido mitaa hii kwa wale wenye nafasi, muangalie nilisema nini na nini kikata kikatokea!.
Mapungufu ya JK: Constructive Criticisim! -
Rais Wetu "Mchelea Mwana Kulia, Endelea Kuwachekea, Ny
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report:
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!,
Ushauri wa bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared
Ushauri wa Bure kwa CCM Zanzibar: Kumuepushia Aibu
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli,
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko
Ushauri wa Bure Kwa ZZK, "Shika Lako!" Ya Wengine
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)
Pasco
Hili jambo ninalolizungumza hapa, ni jambo very serious na la kweli, sio jambo la masikhara, kwa sababu mimi binafsi ni shuhuda na mhanga wa jambo kama hili kuwa ni jambo la kweli kabisa ambalo lipo for real!.
Kwa kuwasaidia tuu watu wasijua facts kuhusu nafasi ya urais, rais ni mtumishi wetu, yaani ni mtumishi wa watu, sisi Watanzania ndio mabosi wake, sisi ndio tumemuajiri ili atutumikie, na ni sisi ndio tunao mlipa mshahara na marupurupu yake yote kwa fedha zetu na jasho letu, hivyo hatupaswi kumuogopa, bali tunapaswa kumuheshimu, na kiukweli tunamuheshimu sana!.
Pamoja na heshima yote kwa rais wetu, mamlaka yote, na madaraka yote, rais wetu na yeye pia ni binadamu, sio Mungu na wala sio malaika, hivyo yeye kama binadamu anaweza kukosea tuu kama binadamu wengine wote!, tofauti ni kuwa, kwa vile urais ndio nafasi ya juu kuliko nafasi zote za uongozi, rais anachukuliwa kuwa ndio yuko juu kuliko mtu mwingine yoyote, na wengine wote waliomzunguka, hujiona wako chini yake, hali inayopelekea hata akifanya makosa ya kibinaadamu, hakuna mtu wa kumwambia rais hapa ulikosea!.
Kwa vile mimi ni mmoja wa raia wake, ninajua kuna kosa fulani limendeka kumhusu Edward Lowassa, wakati wa kipindi chake, hivyo kwa heshima na taadhima na kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, namshauri Rais wetu Mheshimiwa sana, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye kiukweli yuko juu, ajinyenyekeshe, aende kumuomba msamaha wa dhati Edward Lowassa kwa kosa awamu yake ililomtendea, kabla ya October 25!.
Msamaha huo sio lazima uwe wa public, anaweza tuu kupanga vile ambavyo ataona inafaa, akutane na Lowassa na kumuomba msamaha kwa kosa hilo lililotendeka, wakasameheana, tarehe 25 October, Watanzania tukaingia kwenye uchaguzi kwa upendo na amani, ili hata ikitokea, Watanzania kwa ridhaa yetu wenyewe, tukiamua kuipumzisha CCM kwa kuiweka pembeni, tuipumzishe kwa upendo na amani, na sio kwa chuki na visasi!.
Jee Kosa lenyewe ni lipi linalompasa Rais Wetu Jakaya Kikwete kumuomba msamaha Edward Lowassa?!.
Hapa sasa ndipo heshima, akili, busara, unyenyekevu, ustaarabu, uungwana, ustahimilivu wa hali wa juu unapotakiwa kutumika, kama ilivyo katika familia zetu, Baba ndie Mkuu wa nyumba, hata akikosea, kuna namna ya kumjulisha kuwa hapa baba umekosea, tena anayemwambia hayo baba sio mtoto na sio mama bali ni wazee wenzie wa rika lake, hivyo kwa ruhusa ya mwana jf huyu, naomba kumleta mzee wa rika la JK,
Edward alivumilia na kumsaidia mwenzake (nasita sasa hivi kutumia neno 'rafiki') Jakaya ashinde uteuzi wa mgombea wa CCM hapo 2005. Aliamua hivyo baada ya makubaliano ya 1995.
Wapo wengi wa Tanzania waliyojitolea muhanda, wa hali na mali kuungana na Edward kumwezesha Jakaya Kikwete kuwa Rais 2005. Kati yao, ndiyo wamekuwa karibu na Edward katika kinyang'anyiro cha majuzi Dodoma. Imani yao ilikuwa kwamba pamoja na mkanganyiko wa Februari 2008 wa Richmond ambao hauna mashiko yoyote ya ufisadi kwa maana ya rushwa, Rais Kikwete angemfungulia mlango mwenzake Edward kuwa mgombea wa CCM. Badala yake Edward bado akajengewa mzengwe wa utajiri kama Baba wa Taifa alivyofanya 1995.
Sidhani na siamini kwamba ramani ya siasa ya Jamhuri yetu itabaki ilivyo ifikapo Desemba 2015. Ni ishara ya kheri na mwelekeo mwafaka kwa demokrasia ya Taifa letu.Naamini kwa dhati kabisa kwamba Edward Lowassa atakuwa kiongozi ambaye atasaidia ramani hii kubwa na muono mpya.
Juma Volter Mwapachu
Source: Ibrahim Kibopile
Namalizia kwa kulitaja jambo lenyewe iwapo JK ataamua kuwa hakuna kosa lolote la kumuomba msamaha Edward Lowassa, then naomba kutoa ushuhuda wangu wa kitu kinachoitwa 'karma' kwa vile mimi karma naijua na iliishanikuta, hivyo baada ya October 25 mimi ndio nitakuwa muhabarishaji wa jf every time 'karma' takes its toll!.
Ushauri wa bure kwa wana jf ambao hamjui kuhusu 'karma', nawasihi jisomeeni tuu uzi huu na kujipitia zenu, msije kujitia kimbelembele kumjibia JK unless you are certain and absolute sure what was the name of the game!, and also you know what 'karma' is and its quosequenses.
Kuna watu watajiapiza hadi maneno kama 'over my dead body' hakuna msamaha wowote wa kuombwa kwa Lowassa, then subirieni baada ya October 25, nitawakumbusha kuhusu uzi huu!.
Kwa ajili tuu ya kukuwekea references niliwahi kusema nini na hatimaye nini kilitokea, nashauri, msibeze au kupuuzia ushauri wowote wa bure hata ukitoka kwa chizi, bali pima hoja za kwenye ushauri huo!.
Kwa wageni wasiomfahamu Pasco wa jf, wanaweza kufikiri hii ndio maea yake ya kwanza kushauri, au kulizungumzia jambo halafu likatokea. Naomba niwatembeze kido mitaa hii kwa wale wenye nafasi, muangalie nilisema nini na nini kikata kikatokea!.
- Wengi wanadhani mgombea wa CCM, JPM amejiibukia tuu from no where!, or just by chance!, no way, Magufuli hajaibuka for a chance, there are serious reasons, sisi wengine tulibahatika tukaelezwa hizo sababu na tukazileta humu jf tangu 15th August 2014 niliwaeleza watu hivi Mgombea wa CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli!
- Wakati wa uchaguzi wa Arumeru nilimshauri kitu Lowassa, hakusikia na angalieni kilichotokea.
Ushauri: Lowassa Asikanyage Arumeru!, Atamponza Sioi!. - Wakati wa harakati za kuutafuta urais, wengi wakitumai ni Lowassa atapitishwa, nilisema hivi na angalieni nini kilitokea!.
[h=3]Licha ya kukubalika, Jina la Lowassa halitafika hata CC! [/h]Pia nimetoa shauri nyingine mbalimbali za bure.
Mapungufu ya JK: Constructive Criticisim! -
Rais Wetu "Mchelea Mwana Kulia, Endelea Kuwachekea, Ny
Ushauri wa Bure Kwa Mhe. Zitto on Escrow Report:
Ushauri wa Bure kwa ZZK!-Congratulations..But,,,!,
Ushauri wa bure kwa CCM: Hope for the best but get prepared
Ushauri wa Bure kwa CCM Zanzibar: Kumuepushia Aibu
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli,
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko
Ushauri wa Bure Kwa ZZK, "Shika Lako!" Ya Wengine
Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)
Pasco