Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 51
- 141
MWANASIASA KIJANA ALIYEFANYA MAMBO MAKUBWA NA YA MAANA 2010 - 2024 NI PAUL MAKONDA
Na Comrade Ally Maftah
Nikiwatathmini wana siasa vijana walio fanya kazi ya siasa yenye maana zaidi kati ya miaka ambayo macho yangu yakiwa yanaweza kutazama na ubongo kufikiri sawa sawa namwona Paul Makonda.
Mimi ni shabiki namba moja wa aina ya siasa za Paul Makonda. wakati kundi kubwa likiwa halimwelewi Makonda mimi nilikuwa namwelewa sana,
Wananchi wengi tuna matatizo makubwa ya kuwapenda wana siasa waongo waongo ( watoa ahadi ) badala ya wana siasa watatuzi wa matatizo, wanaofikiri kuleta mbadala wa mambo,na wanaozungumza ukweli mbele za watu,nawana siasa wasio na vinyongo.
Paul Makonda ana mtindo wa pekee sana wa kisiasa, hataki kuzungumzia pembeni pembeni, huwa ana penda kuyabwaga mambo wazi, na si mwenevu, hanaga visasi, na ni mzungumzaji mzuri sana anayewavutia wengi sana kwa mitindo yake ya uzungumzaji,
Comrade Ally Maftah nina mengi sana ya kuzungumza kuhusu makonda naweza kusema ndio SUPER STAR POLITICIAL FROM 2010 -UP TO NOW
Ndimi
Comrade Ally Maftah
Na Comrade Ally Maftah
Nikiwatathmini wana siasa vijana walio fanya kazi ya siasa yenye maana zaidi kati ya miaka ambayo macho yangu yakiwa yanaweza kutazama na ubongo kufikiri sawa sawa namwona Paul Makonda.
Mimi ni shabiki namba moja wa aina ya siasa za Paul Makonda. wakati kundi kubwa likiwa halimwelewi Makonda mimi nilikuwa namwelewa sana,
Wananchi wengi tuna matatizo makubwa ya kuwapenda wana siasa waongo waongo ( watoa ahadi ) badala ya wana siasa watatuzi wa matatizo, wanaofikiri kuleta mbadala wa mambo,na wanaozungumza ukweli mbele za watu,nawana siasa wasio na vinyongo.
Paul Makonda ana mtindo wa pekee sana wa kisiasa, hataki kuzungumzia pembeni pembeni, huwa ana penda kuyabwaga mambo wazi, na si mwenevu, hanaga visasi, na ni mzungumzaji mzuri sana anayewavutia wengi sana kwa mitindo yake ya uzungumzaji,
Comrade Ally Maftah nina mengi sana ya kuzungumza kuhusu makonda naweza kusema ndio SUPER STAR POLITICIAL FROM 2010 -UP TO NOW
Ndimi
Comrade Ally Maftah
- Mjumbe wa Mkutano wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam
- Mjumbe Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
-