Serikali imeingia makubaliano na wawekezaji wa kiwanda cha Mbeya Cement ya kuboresha na kuongeza ufanisi wa uzalishaji wa kiwanda hicho ikiwa ni Pamoja na kufutwa kwa Deni la Shilingi Billion 170...
Mwaka 2018 Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lilitoa waraka wa Pasaka ambao ulikua unakosoa, kuonya na kushauri mambo mbalimbali yaliyokua yakiliathiri taifa kwa wakati huo. Waraka...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameishauri Serikali kuwarejesha kazini Walimu wakuu wa Shule za Msingi zilizopo Tunduma Mkoani Songwe waliovuliwa vyeo baada ya...
Nchi ya Mozambique imeanza rasmi kuuza gas Asilimia iliyosindikwa kwenye soko la Dunia baada ya uwekezaji kuanza Kuzalisha.
Mozambique ni Kati ya Nchi chache Dunia Zenye Hifadhi kubwa kabisa ya...
Mawaziri wa Michezo wa Tanzania, Kenya na Uganda wamekutana na timu ya wataalamu kutoka nchi hizo kuweka mikakati ya pamoja kuelekea mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) mwaka 2027, leo...
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, leo Bungeni ijini Dodoma alisimama kutoa taarifa kuhusu kuidhinishwa kwa sera ya elimu na mafunzo ya Elimu 2014 toleo la 2023, amesema sera ya Elimu...
Jamaa yupo serious na maisha ya Watanzania.
Sakata la mafuta alipambania maisha ya Watanzania.
Sakata la Tril 280 ndio amekomaa kinyama.
Huyu jamaa ni mwamba wa kuwachachafya ma-CCM.
Kupitia ukurasa binafsi wa mtandao wa X (Zamani Twitter) wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika. Mashariki, January Makamba ameandika ujumbe kuwa mapema leo amefanya mazungumzo na...
Huyu ni mwanafunzi ambaye tunaambiwa kuwa ni wa miaka 16 aliyeshinda mashindano ya uandishi wa insha kwa nchi za SADC (jumla ya shule zilizoshiriki ni 13)
Mimi lililonisukuma kuleta hii mada...
Wakati madai ya upatikanaji wa Katiba Mpya uliposhika kasi vyama tofauti vilitoa mapendekezo ya Nini kifanyike ikiwa nafasi ya upatikanaji wa Katiba hiyo Kabla ya Uchaguzi wa SERIKALI za Mitaa...
Wabunge wamechangia kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2024/2025 pamoja na muongozo wa maandalizi ya Mpango wa Bajeti Mwaka 2024/2025, leo Novemba 7, 2023.
Akichangia...
Huyu amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjua Mwana FA hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia...
Utawaona baadhi wanatokwa povu, wanatokwa jasho, wanawaka hasa kukemea ubadhirifu uliobainishwa na CAG. Wakimaliza mjadala maisha yanaendelea kama kawaida.
Wanasubiri tena mwaka ujao. Napo...
Serikali imepanga kulipa kiasi hicho kutoka katika Makusanyo ya Tsh. Trilioni 47.42. Kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, Makusanyo hayo pia yatagharamia Miradi ya Maendeleo Tsh...
Kwa sasa mambo yamebadilika sana na hasa Shujaa Magufuli ndio alilegeza kabisa Vetting akiamini PhD ndio kila kitu.
Enzi hizo za 1970s Waziri wa Fedha Waziri wa Ulinzi, Waziri wa Mambo ya Ndani...
Ndugu zangu watanzania,
Huo ndio ukweli, ndio uhalisia,ndio jibu kwa wale wote wanaojiuliza ujasiri mkubwa alio nao na alio uonyesha Rais samia katika kuongoza Taifa letu pamoja na mafanikio...
Kwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi...
Hii ndiyo Taarifa mpya kutoka Njombe , Kwamba Sanga aliyetuhumiwa kwa mauaji kutokana na kukataa kuunga mkono Juhudi za awamu ya 5 , hatimaye leo amesomewa mashitaka hayo .
Hii ni baada ya...
Jana Jumamosi 04/11 wakati ninaangalia taarifa ya habari usiku, niliona picha ikionesha kikosi cha jeshi la polisi jijini Mbeya kikiwa kimebeba silaha nzito wakiandamana.
Jambo lililonivutia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.