Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Katika watu wa Tanzania waliobarikiwa kuwa na mvuto wa kisiasa na nyota kwenye Jamii, Freeman Mbowe ni miongoni mwao.
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
Huyu Jamaa anatisha. Kwenye Msiba wa Lowassa wamefika viongozi wengi mno wakiwemo hata viongozi wa kitaifa wa sasa na wastaafu lakini alipoingia Freeman Mbowe kuna kishindo kikuu kiliingia kwenye msiba huo (nilikuwepo eneo la tukio)
Mbowe alipofika tu wale wote waliokuwa wanalia kwa Uchungu walinyamaza kama vile walipewa ishara fulanii ya kupisha Ujio wa Mbowe, hili jambo kwangu ni geni, Bashasha za wafiwa na Wageni wengine ziliongezeka mara dufu. Japo ni Msiba lakini watu walipata matumaini fulani hivi. Nikajiuliza huyu Raia ana kitu gani hasa kiasi cha kupooza mambo kwenye msiba huu?
Nimejifunza kwamba katika dunia hii usithubutu kushindana na aliyejaaliwa