Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais John Magufuli ametengua uteuzi na kumrejesha nchini aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada, Alphayo Kidata pia ameondolewa hadhi ya Ubalozi MY TAKE: Ndugu Kidata ni mzaliwa wa...
102 Reactions
744 Replies
194K Views
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi! Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini...
8 Reactions
38 Replies
4K Views
Wanabodi, Preamble: "Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu na sii maendeleo ya vitu, na yataletwa na watu kwa ajili ya watu". (Of the People, by the People and for the People),-Mwalimu Nyerere...
19 Reactions
97 Replies
9K Views
Keypoints: Biteko amechaguliwa kusaidia kukisafisha chama cha CCM kwani kina makandokando mengi sana. Biteko ni mtu muadilifu na muungwana na hajikwezi kama wengine. Kama waziri wa nishati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya ndio mambo kila siku Rais anasema. Linatokea tatizo viongozi mpo lakini mmekaa kimya. Leo tumeambiwa Tabora hakuna mafuta shughuli za kiuchumi zitafanyikaje? Mkoa una maafisa kutoka kila...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Ni kweli wakati wa Mwendazake hakukuwa na shida za maji na migao Dsm lakini tokea Samia ashike usukani kila mwaka ni migao tu ya maji Kila November migao ya maji inakuwepo!! Tuliletewa story...
3 Reactions
6 Replies
469 Views
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye...
29 Reactions
186 Replies
8K Views
Ndugu zangu watanzania, Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Tuliwahi kuleta taarifa kama hii kwenye robo ya kwanza ya mwaka , Sasa tunarudi tena kwenye hii robo ya 3 , tumefanya utafiti tena tumeona kwa Macho yote kwamba mpaka sasa Chadema bado inaongoza...
12 Reactions
39 Replies
3K Views
Kumbe MABADILIKO ya BARAZA la MAWAZIRI ni Ku panga SAFU ya USHINDI katika UCHAGUZI UJAO na SIO KUWALETEA MAENDELEO --- Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema Rais Dkt. Samia Suluhu...
0 Reactions
4 Replies
784 Views
Jafo alipokuwa Tamisemi alifanya kazi kubwa lakini alizidisha Maigizo kwenye utendaji wake Ummy, Bashungwa na Angella hakuna lolote la maana walilofanya wamekuwa Watendaji wa kawaida tu...
2 Reactions
6 Replies
558 Views
Nauliza tu kwa sababu mkoa wa Tanga umesheheni Wasomi wa Taaluma tofauti tofauti Kwako Sangoma Mshana jr😄 Jumaa kareem!
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani itupatie vichwa 100...
11 Reactions
51 Replies
2K Views
Tumsifu Yesu Kristo Niseme tu kama kweli CCM inataka Ushindi wa kishindo 2024 na 2025 basi ni lazima Ijisuke Upya Hawa Wananchi wa Leo wamekwishaamka kabisa kabisa Tusijisahaulishe kuwa...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Mwanazuoni na sheikh maarufu Maalim Basaleh amefariki dunia leo Jumapili katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu akisumbuliwa na matatizo ya figo na saratani. Mtoto wa marehemu...
16 Reactions
67 Replies
8K Views
Kutokana na hali ya kisiasa na kiuchumi inayoendelea hapa Bongo, nimejikuta nikijiuliza, "Je, inawezekana na CCM nao wanajifunza?" Swali hili limenijia baada ya kutafakari majibu yanayotolewa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rugemalira Mutahaba ameaga dunia wiki jana huko “bondeni”. Ruge ali maarufu kama boss Ruge wa staff ya clouds media na watu wengine ambao hawakuwa waajiriwa wa Clouds media. Ruge alikuwa sort of...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Akiwa Ikulu ndogo Zanzibar leo September mosi 2023 kwenye uapisho wa mawaziri aliowateua Rais Samia amesema mabadiliko aliyoyafanya sio adhabu bali kuboresha. Rais Samia amesema maendeleo lazima...
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji. Nimekuwepo...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Back
Top Bottom