Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa IPU Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), ametembelewa na Marafiki zake kutoka Mbeya.
Awali akiwa anazungumza na wageni hao, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Dotto...
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar akihojiwa kuhusu Uganda kupitisha sheria ya ushoga, amesema nafasi ya Uingereza juu ya haki za LGBT+ duniani iko wazi.
"Tunaunga mkono haki za...
"Huu ni ushauri wa bure kwenu waungwana."
Ni muhimu kuyatambua yafuatayo:
1. CHADEMA kimekuwa ni chama chaguo la wengi kwa muda mrefu.
2. Si kwa sababu ni chama bora sana, ila ni kwa kuwa...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) amepongeza uamuzi uliofanywa na Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Mbeya ambalo ndio Mamlaka ya nidhamu ya Watumishi...
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuruhusu mjadala wa ripoti ya CAG unaoendelea bungeni kuwa mjadala wa...
Wapendwa,
Kwa muda sasa nimekua na ziara ya muda mrefu kujifunza, kusoma ramani na kupima upepo wa kisiasa, kuskiza maoni, mitazamo, ushauri na kwakweli kusaidiana na wananchi wa Jimbo la chemba...
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane...
Serikali imesema hata magari ya mabosi itawauzia Ili kubana Matumizi hii maana yake Matumizi ya Serikali ni makubwa kuliko Mapato.
Wakili Mwabukusi anataka tuandamane Ili Bandari isikodishwe...
Mkurugenzi wa TRC mh Kadogosa ambaye kitaaluma ni banker amesema kabla ya kuinunua Mabehewa ya kujaribia reli ya SGR walikuwa na option tatu, kununua Mapya showroom, Kukodi au kununua Mitumba...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi unaojadili kuharakisha Mageuzi ya Kiuchumi ya Afrika, Marrakech-Morocco, leo Novemba 8, 2023...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini amemuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa katika Halfa ya Uzinduzi wa Idara Jumuiya ya Maridhiano na...
Wananchi wanapokuwa na jambo lao katiba inawaruhusu kuandamana au kukusanyika kuliongelea.
Kwenye hili, polisi ni mawakala wa wanaolalamikiwa. Mlalamikiwa au wakala wake wanaupata wapi uhalali wa...
Mitambo ya Songas yafikia kikomo kuzalisha gesi
Thursday, 28 July 2011 20:59
Said Powa, aliyekuwa Kilwa
Mwananchi
KAMPUNI inayochimbaji, kusafirisha na kuzalisha umeme wa gesi ya...
Kinachokwendwa kufanywa na wakili Mwabukusi na mwanaharakati Mdude tarehe 9/11/2023 juu ya maandamano waliyopanga ni kujaribu kuficha aibu ya kuumbuka kwa upotoshaji wao.
Maandamano hayo ya...
Rais Ruto wa Kenya ametangaza kufuta mpango wa kubinafsisha Bandari ya Mombasa na amesema kamwe hatafanya hivyo katika Utawala wake
Source: Citizen TV
My take; Hii ni fursa nzuri kwa TPA na DP...
Serikali Kupitia Mwigulu na Mbarawa jibuni hoja za Mpina.
Inakuwaje Sgr progress ni kidogo kiasi hiki kama taarifa za Mpina ni sahihi.?
Pesa mnalipa kweli Kwa mkandarasi au Sgr sio kipaombele...
Serikali inasema kwasasa wanamalizia mazungumzo ya mkataba wa LNG wakati huo huo DP World wamesaini mikataba mingine.
Sasa ni kwanini hiyo mikataba haiendi bungeni na kuwekwa wazi? Juzi tu hapa...
Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi...
Mbunge wa jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina amedai kuwa, kuna upigaji na ubadhirifu wa shilingi trilioni 6.5 katika maeneo ambayo ni ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), IPTL, mradi wa umeme wa Julius...
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameomba kufanya mdahalo na Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba live kwenye Televisheni kuzungumzia kashfa ya ufisadi wa Trilioni 30 alizochambua kutoka ripoti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.