Rais John Magufuli ametengua uteuzi na kumrejesha nchini aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada, Alphayo Kidata pia ameondolewa hadhi ya Ubalozi
MY TAKE:
Ndugu Kidata ni mzaliwa wa...
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini...
Wanabodi,
Preamble: "Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu na sii maendeleo ya vitu, na yataletwa na watu kwa ajili ya watu". (Of the People, by the People and for the People),-Mwalimu Nyerere...
Keypoints:
Biteko amechaguliwa kusaidia kukisafisha chama cha CCM kwani kina makandokando mengi sana.
Biteko ni mtu muadilifu na muungwana na hajikwezi kama wengine.
Kama waziri wa nishati...
Haya ndio mambo kila siku Rais anasema. Linatokea tatizo viongozi mpo lakini mmekaa kimya. Leo tumeambiwa Tabora hakuna mafuta shughuli za kiuchumi zitafanyikaje?
Mkoa una maafisa kutoka kila...
Ni kweli wakati wa Mwendazake hakukuwa na shida za maji na migao Dsm lakini tokea Samia ashike usukani kila mwaka ni migao tu ya maji
Kila November migao ya maji inakuwepo!!
Tuliletewa story...
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye...
Ndugu zangu watanzania,
Ni dhahiri kwa matendo ,mwenendo ,kauli na matamshi mbalimbali ambayo yamekuwa yakitolewa na kutoka katika kinywa na mdomo wa Dr Slaa Hastahili Kuendelea kuitwa...
Tuliwahi kuleta taarifa kama hii kwenye robo ya kwanza ya mwaka , Sasa tunarudi tena kwenye hii robo ya 3 , tumefanya utafiti tena tumeona kwa Macho yote kwamba mpaka sasa Chadema bado inaongoza...
Kumbe MABADILIKO ya BARAZA la MAWAZIRI ni Ku panga SAFU ya
USHINDI katika UCHAGUZI UJAO na SIO KUWALETEA MAENDELEO
---
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amesema Rais Dkt. Samia Suluhu...
Jafo alipokuwa Tamisemi alifanya kazi kubwa lakini alizidisha Maigizo kwenye utendaji wake
Ummy, Bashungwa na Angella hakuna lolote la maana walilofanya wamekuwa Watendaji wa kawaida tu...
Maendeleo hayana ubaguzi, kwakuwa ndani ya miaka zaidi ya 60 tumeshindwa kufanya mapinduzi kwenye sekta hata 1 niombe kwa heshima na taadhima tuiombe nchi ya Marekani itupatie vichwa 100...
Tumsifu Yesu Kristo
Niseme tu kama kweli CCM inataka Ushindi wa kishindo 2024 na 2025 basi ni lazima Ijisuke Upya
Hawa Wananchi wa Leo wamekwishaamka kabisa kabisa
Tusijisahaulishe kuwa...
Mwanazuoni na sheikh maarufu Maalim Basaleh amefariki dunia leo Jumapili katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu akisumbuliwa na matatizo ya figo na saratani.
Mtoto wa marehemu...
Kutokana na hali ya kisiasa na kiuchumi inayoendelea hapa Bongo, nimejikuta nikijiuliza, "Je, inawezekana na CCM nao wanajifunza?" Swali hili limenijia baada ya kutafakari majibu yanayotolewa na...
Rugemalira Mutahaba ameaga dunia wiki jana huko “bondeni”. Ruge ali maarufu kama boss Ruge wa staff ya clouds media na watu wengine ambao hawakuwa waajiriwa wa Clouds media.
Ruge alikuwa sort of...
Akiwa Ikulu ndogo Zanzibar leo September mosi 2023 kwenye uapisho wa mawaziri aliowateua Rais Samia amesema mabadiliko aliyoyafanya sio adhabu bali kuboresha. Rais Samia amesema maendeleo lazima...
Hii kiukweli sio sawa, haiingii akilini kwamba Maji yanapatikana vizuri kabisa hapo hapo Serikali inapeleka tena mradi wa zaidi ya Bilioni 200 Mji huo huo ambao hakuna shida ya Maji.
Nimekuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.