“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024