Hii nchi bwana inafikirisha sana. Upi ni mpaka kati ya Serikali na Chama cha Siasa?

Mukuu123

JF-Expert Member
May 7, 2019
319
1,221
Yani mtu siyo mtumishi wa umma na hana chochote kile serikalini lakini anatembea na msafara wa magari ya serikali na watu wamekaa kimya tuu.

Kwa nguvu alionayo uyu bwana nahisi anaweza kwenda Lugalo pale akachukua kifaru halafu akaingia nayo road and nobody can question him, upi mpaka kati ya chama na serikali Mbona nachanganyikiwa apa.
 

Taifa letu kiuongozi linazidi kudidimia chini na hii inatokana na kukua na kuenea kwa tabia ya uchawa. Utamaduni wa uchawa unaliharibu hili taifa.
 
Hivi kweli wa tz akili zetu zipo sawa sawa mimi mashaka nchi haiwezi endeshwa namna hii nahisi kuna kitu hakiko sawa kwenye vichwa vya wabongo
 
Yani mtu siyo mtumishi wa umma na hana chochote kile serikalini lakini anatembea na msafara wa magari ya serikali na watu wamekaa kimya tuu.

Kwa nguvu alionayo uyu bwana nahisi anaweza kwenda Lugalo pale akachukua kifaru halafu akaingia nayo road and nobody can question him, upi mpaka kati ya chama na serikali Mbona nachanganyikiwa apa.
Siku moja nilimsikia kada mmoja akisema kuwa sisi ni vinyago vyao hatuwatishi kwa kwa lolote
 
Back
Top Bottom