chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Makonda alikuwa mlezi wa kampuni ya wasafi inayomilikiwa na mwanamuziki Diamond. Mara kadhaa alisikika akimkemea Harmonise asivute misokoto yake. Lakini tangu aukose ukuu wa Mkoa, Wasafi waliona kama wametua zigo la misumari, wakampiga chini.
Nashauri Makonda asiwaache salama kwenye orodha yake ya siri ya watu aliopanga kuwaonyesha yeye ni nani mpaka wakimbie mji
Nashauri Makonda asiwaache salama kwenye orodha yake ya siri ya watu aliopanga kuwaonyesha yeye ni nani mpaka wakimbie mji