Kitia
JF-Expert Member
- Dec 2, 2006
- 418
- 74
Naomba kufahamishwa na wale wenye kufahamu zaidi, hivi ni sawa vikao vya CCM kufanyika Ikulu? Ninavyotambua Ikulu huwasikilisha serikali ikiwa ni pamoja na jamii nzima ya Tanzania.
Hivi CUF, TLP au Chadema wanaweza kufanyia mikutano yao Ikulu au katika sehemu zingine kama hizo?
Soma pia >
Vikao vya CCM Ikulu vinakera
- Tatizo la Rais Kufanyia Vikao vya CCM Ikulu ni la Pande 2
Hivi CUF, TLP au Chadema wanaweza kufanyia mikutano yao Ikulu au katika sehemu zingine kama hizo?
Soma pia >
Vikao vya CCM Ikulu vinakera
- Tatizo la Rais Kufanyia Vikao vya CCM Ikulu ni la Pande 2