Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi...
ESTA 1
Malkia Vashti aasi amri ya mfalme Ahasuero
1Mfalme Ahasuero, alipotawala ufalme wake ulikuwa mikoa 127, toka India hadi Kushi. 2Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. 3Mnamo...
Kama Dkt. Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kwa kupigania rasilimali naamini yupo kwenye mwisho mwema wa maisha yake hapa Duniani. Kwamba ameanza kwa kupigania haki na amezeeka akiwa mtetezi wa...
Kwa kumbukumbu zangu tangu Rais Samia Ameingia Madarakani. Kuna watanzania ambao wamekutana na Rungu lake uso kwa uso. Baada tu ya kutumia haki zao za kikatiba kwa kusema yale waliyoamini kwamba...
Gazeti la Mwananchi limeandika Misimamo Tofauti ya Viongozi wakuu wa Chadema mh Mbowe na mh Tundu Lisu yanawagawa Wanachama
Kigogo mmoja wa Chadema aliyewahi kuwa mbunge amesema Mikutana ya...
Nishati imeshaonekana ni wizara ngumu na yenye changamoto nyingi sana kuzimudu ndio maana January Makamba kiuhakika alishindwa kuimudu.
Sasa wizara hiyo amepewa Dotto Biteko, lakini pamoja na...
Hii kodi ilikuwepo zamani ambapo mafuta yalikuwa yanapanda Bei Wakati wa Bajeti hivyo Bei mpya ikitangazwa tu Income tax officers walikuwa wanaenda kupima akina ya mafuta kwenye Petrol stations...
🔰 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 𝗞𝗜𝗨𝗧
🗓️ 𝗔𝗚𝗢𝗦𝗧𝗜 31, 2023
FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE?
Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT
Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua...
Project ya CCM ilikuwa ni kuwatumia Dr Slaa, Prof Lipumba na Mchungaji Mtikila kuhakikisha Lowassa hashindi urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015.
Uchaguzi ulipoisha na hiyo project...
Kama una mpinzani au mshindani, halafu ukafanya jambo ambalo mshindani wako huyo alitarajia utafanya, na ukafanya kwa namna ile ile huyo mshindani wako alitarajia, wewe uliyefanya utakuwa umefeli...
Wilaya ya Ileje ni miongoni mwa Wilaya zilizounda Mkoa wa Mbeya (naambiwa sasa imehamishiwa Mkoa wa Songwe ) ni miongoni mwa wilaya zinazounda Mkoa huo, historia inaonyesha kwamba kabla ya kuwa...
Jambo muhimu kwenye Siasa na hasa kama Siasa Ndio tegemeo la Maisha yako na familia yako basi heshimu kila mtu.
Siasa za bongo ni pasua kichwa sana yaani ni kama kuwapandisha Kobe juu ya miti...
Muda mfupi baada ya kuvuliwa hadhi ya Ubalozi, Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Willbroad Slaa amesema "Niliwakilisha nchi yangu kimataifa, wanaojua ubora wa ubalozi wangu ni nchi ambazo nilizihudumia...
Ukiwa Kiongozi wa Nchi pamoja na mambo mengine ni kuwa mtulivu , kuwa na muda mrefu wa kutafakari kwa fikra tunduivu uelekeo wa Taifa.
Kwa kufanya hivyo unatoa uongozi na majawabu pale vyombo na...
Kama Raia wa nchi anaweza kuanzisha ofisi yoyote na ikawa halali kikatiba, vipi siku Rais akiamua kuanzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mwenza wake au mtu mwingine yoyote yule kushika...
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha...
Kwa wanaojua kuwa cheo cha naibu waziri mkuu hakimo kwenye katiba yetu, wanahoji kunani ikulu hadi inavunja katiba? Je rais amemteua huyu mwanangu ili kumuandaa Majaliwa kuachia ngazi na Biteko...
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho.
Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.