Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni dhahiri sasa kwamba Mh Rais alidanganywa na kuambiwa mambo ya uongo , kwamba kabla ya kukamatwa Mbowe alikimbilia nje ya Nchi baada ya kupata taarifa kuwa miongoni mwa watuhumiwa kwenye kesi...
21 Reactions
119 Replies
10K Views
ESTA 1 Malkia Vashti aasi amri ya mfalme Ahasuero 1Mfalme Ahasuero, alipotawala ufalme wake ulikuwa mikoa 127, toka India hadi Kushi. 2Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. 3Mnamo...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Kama Dkt. Slaa amevuliwa hadhi ya ubalozi kwa kupigania rasilimali naamini yupo kwenye mwisho mwema wa maisha yake hapa Duniani. Kwamba ameanza kwa kupigania haki na amezeeka akiwa mtetezi wa...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwa kumbukumbu zangu tangu Rais Samia Ameingia Madarakani. Kuna watanzania ambao wamekutana na Rungu lake uso kwa uso. Baada tu ya kutumia haki zao za kikatiba kwa kusema yale waliyoamini kwamba...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi limeandika Misimamo Tofauti ya Viongozi wakuu wa Chadema mh Mbowe na mh Tundu Lisu yanawagawa Wanachama Kigogo mmoja wa Chadema aliyewahi kuwa mbunge amesema Mikutana ya...
0 Reactions
6 Replies
780 Views
Nishati imeshaonekana ni wizara ngumu na yenye changamoto nyingi sana kuzimudu ndio maana January Makamba kiuhakika alishindwa kuimudu. Sasa wizara hiyo amepewa Dotto Biteko, lakini pamoja na...
0 Reactions
3 Replies
598 Views
Hii kodi ilikuwepo zamani ambapo mafuta yalikuwa yanapanda Bei Wakati wa Bajeti hivyo Bei mpya ikitangazwa tu Income tax officers walikuwa wanaenda kupima akina ya mafuta kwenye Petrol stations...
1 Reactions
1 Replies
313 Views
🔰 𝗨𝗩𝗖𝗖𝗠 𝗞𝗜𝗨𝗧 🗓️ 𝗔𝗚𝗢𝗦𝗧𝗜 31, 2023 FAHAMU KUHUSIANA NA TEUZI YA NAIBU WAZIRI MKUU KIKATIBA IMEKAAJE? Reuben Paul Mboje, Mwanasheria-UVCCM KIUT Tarehe 30/08/2023 watu wanashangazwa kuona barua...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Project ya CCM ilikuwa ni kuwatumia Dr Slaa, Prof Lipumba na Mchungaji Mtikila kuhakikisha Lowassa hashindi urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015. Uchaguzi ulipoisha na hiyo project...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Ingekuwa kinacho zungumwa wakati wa kampeni ndicho kitekelezwacho mataifa mengi yangeendelea sana. Sijui kwanini?
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Kama una mpinzani au mshindani, halafu ukafanya jambo ambalo mshindani wako huyo alitarajia utafanya, na ukafanya kwa namna ile ile huyo mshindani wako alitarajia, wewe uliyefanya utakuwa umefeli...
7 Reactions
9 Replies
588 Views
Wilaya ya Ileje ni miongoni mwa Wilaya zilizounda Mkoa wa Mbeya (naambiwa sasa imehamishiwa Mkoa wa Songwe ) ni miongoni mwa wilaya zinazounda Mkoa huo, historia inaonyesha kwamba kabla ya kuwa...
12 Reactions
139 Replies
9K Views
Jambo muhimu kwenye Siasa na hasa kama Siasa Ndio tegemeo la Maisha yako na familia yako basi heshimu kila mtu. Siasa za bongo ni pasua kichwa sana yaani ni kama kuwapandisha Kobe juu ya miti...
0 Reactions
7 Replies
794 Views
Muda mfupi baada ya kuvuliwa hadhi ya Ubalozi, Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Willbroad Slaa amesema "Niliwakilisha nchi yangu kimataifa, wanaojua ubora wa ubalozi wangu ni nchi ambazo nilizihudumia...
1 Reactions
3 Replies
559 Views
Ukiwa Kiongozi wa Nchi pamoja na mambo mengine ni kuwa mtulivu , kuwa na muda mrefu wa kutafakari kwa fikra tunduivu uelekeo wa Taifa. Kwa kufanya hivyo unatoa uongozi na majawabu pale vyombo na...
0 Reactions
0 Replies
412 Views
Kama Raia wa nchi anaweza kuanzisha ofisi yoyote na ikawa halali kikatiba, vipi siku Rais akiamua kuanzisha wadhifa wa Mfalme au Malikia na akamteua mwenza wake au mtu mwingine yoyote yule kushika...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Waota njozi wamekuwa na tafsiri 1001,lakini lengo kuu ni usimamizi thabiti, wakati mwingine ngombe bila bakora haendi.
1 Reactions
2 Replies
371 Views
Serikali ilisema hapo kabla ya kwamba DP World ataendelea na biashara pale bandarini dar, hii ilikuwa kabla ya msimamamo wa bunge wa episode 2, ikumbukwe msimamo wa bunge wa episode 1,ulipitisha...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa wanaojua kuwa cheo cha naibu waziri mkuu hakimo kwenye katiba yetu, wanahoji kunani ikulu hadi inavunja katiba? Je rais amemteua huyu mwanangu ili kumuandaa Majaliwa kuachia ngazi na Biteko...
0 Reactions
3 Replies
845 Views
Cheo cha Naibu Waziri kuu hakipo kwenye katiba iliyopo lakini Marais waliotangulia waliwahi kumteua hayati Mrema na Salim Ahmed Salim kukitumikia cheo hicho. Jana Rais Samia kamteua Doto Biteko...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom