Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naweza kusema Lowassa amekuwa overrated sana ndani ya CCM na nchi kwa ujumla. Nguvu za Lowassa ndani ya CCM zimetiwa chumvi nyingi sana. Haikuwa nguvu ya Lowassa iliyomfanya Kikwete mgombea wa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimesoma Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Lema huko X ukurasani Kwake akidai Waliotuambia Lowassa ni Fisadi jana walikaa Viti vya mbele msibani Wakijifanya kulia na kumtolea Matamko mazuri...
11 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania? Sukari kilo 5,500 Nyama kilo 10,000 Mchele kilo 4,000 Unga kilo 2,800 Petroli lita 3,300...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa data kutoka BoT kama zilivyonukuliwa na jarida la The Chanzo zinabainisha kwamba Tanzania ilitumia takribani Shilingi Trilioni 2 Kwa mwaka 2023 sawa na Dola mil.800 kuagizia bidhaa 3...
9 Reactions
58 Replies
4K Views
Maandamano makubwa yaliyo fanyika Jana toka pande tofauti za jiji la Mwanza yamehitimisha dhana kuwa Ziara ya mwenezi wa CCM Makonda kanda ya ziwa iliyokuwa ina tafsiriwa ni kifo cha siasa za...
14 Reactions
48 Replies
4K Views
Wakuu habari, Tunawaletea kinachojiri kwenye Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Fuatana nasi... Karibuni sana. ================== Updates: 1. Sasa mchakato unaanza rasmi, Wajumbe kamati...
82 Reactions
6K Replies
891K Views
Hakika kwanza nianze na POLE nyingi sana kwa Familia ya Hayati Edward Lowassa,Rais Samia Ccm na CHADEMA. Hayati Edward Lowassa alikuwa Mwanachama wa Ccm mpaka pale Chama chake kilipomkata jina kwa...
1 Reactions
2 Replies
475 Views
Mhe. Bashe SUKARI iko wapi wananchi tunateseka. Mhe. Biteko UMEME uko wapi wananchi tunateseka. Mhe. Ummy MADAWA yako wapi wananchi tunateseka hata ukiwa na Bima. Wananchi tunawaamini lakini...
1 Reactions
1 Replies
401 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna jambo ambalo Mwenyezi Mungu kaliweka ndani ya Dkt. Tulia Acksoni Mwansasu, Dada wa Taifa, Msomi Nguli wa Sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini, Spika wa Bunge...
5 Reactions
66 Replies
4K Views
Kuna yule mbunge wa Chato nadhani mhe Medard Kalemani ni kosa gani kubwa ambalo Kalemani alifanya hadi kutorewa nishati? Alikuwa mchapakazi, hakuwa mswahili hata kidogo alikuwa hapendi uzembe...
0 Reactions
7 Replies
883 Views
Kweri huyu alikua shujaa hii clip ya Magufuri akiuliza ishu ya umeme imenifanya nilie Wapendwa hapa nalia muda huu Tanzania haitokuja kupata shujaa kama huyu Huyu baba alikua anajua shida za...
6 Reactions
6 Replies
871 Views
Mungu ni mwema Wakati wote Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa. -- Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa...
29 Reactions
167 Replies
10K Views
Ni majitu yale yale yaliyo iba kura za mzee Lowasa 2015 kwa bao la mkono ndio yaliyo taka kuiba CV ya mzee Lowasa tena akiwa amelala. Dakika za jionii kabisaa mahafidhina ya ccm yakiwa yakiwa...
2 Reactions
0 Replies
344 Views
Kikwete jiwekee akiba NIMEPATA kueleza kwa zaidi ya mara mbili namna ninavyoguswa na ugumu wa kazi zinazomkabili Rais Jakaya Kikwete wakati anapotimiza wajibu wake kama mkuu wa nchi, Amiri Jeshi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tundu Lissu ameyasema hayo alipotembelea familia ya Lowassa kuhani msiba kuwa amefika kumpa pole mwalimu wake aliyemfundisha darasani miaka arobaini na moja iliyopita. Tundu Lissu amesisitiza...
12 Reactions
98 Replies
9K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan usiku wa kuamkia leo, Jumapili Februari 18.2024 amewasili jijini Addis Ababa nchini Ethiopia kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa nchi za...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
Hii ndio Taarifa fupi iliyosambazwa na chama hicho leo kote Duniani , Kwamba Chama hicho kitaongea na Wanahabari na huenda kesho kikatoa ratiba ya Maandamano kwenye jiji hilo Ikumbukwe kwamba...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Tanzania ili ifanikiwe lazima watu wake wakubali kustaarabika tofauti na hapo itapita hata miaka 100 na nchi itakua hivi hivi Mimi sio mwanachama wa chadema au ccm sina ushabiki wa chama Lowassa...
64 Reactions
111 Replies
9K Views
Mbunge wa jimbo la moshi vijijini Profesa Patrick Ndakidemi licha ya kuwepo makundi hasi yanayopambana kuhakikisha yanakwamisha juhudi zake katika kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake,msomi...
4 Reactions
8 Replies
970 Views
Niwaulize CCM kweli ni vizuri kumuweka mtu wa aina ya Balozi Emanuel Nchimbi mwenye ueledi wa juu na siasa za kistaarabu kufanya kazi Makonda? Mh Kinana kwanini hukumshauri Rais mkiona watu kwenye...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom