Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nauona mitihani mkubwa kwa waziri Dotto Biteko kuhusu Nishati. Hii Wizara ina upigaji mwingi kwa watu wasio waadilifu ila kwa mwaadilifu wala hakuna shida wizarani. Sasa, Waziri mpya mfano...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Tofauti na wengi wanaoona ,uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu umekuja kufuatia mamlaka kutomuamini Waziri Mkuu lakini mtazamo huo upo tofauti na mtazamo wangu. Kwa mtazamo wangu, mamlaka imemuamini sana...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
MATENGENEZO YA GARI TOYOTA HILUX VIGOR DFP 6939 Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mpanda (Eng Hussein Salum Nyemba) aliyepewa usukani na wizara ya Maji kuiongoza taasisi hiyo muhimu kwa ajili ya...
4 Reactions
7 Replies
5K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 5, leo Septemba 4, 2023. Ratiba: Dua Hati za kuwasilisha Bungeni Maswali...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimesikitishwa na kitendo cha BASATA kumzuia msanii Ney wa Mitego kuandaa show huko Njombe hii sio mara ya kwanza na naona kuna kila dalili Ney wa Mitego akazuiliwa kualikwa kwenye matamasha yote...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya Songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa. Hii hali inahatarisha uchumi wa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Nina ujumbe mfupi Kwa vijana WA CCM Tu yakuwa January Makamba wa 2015-2020 sio Jaunuary Makamba wa 2023-2024 ili hata nyie mtanielewa. Popularity ya January Makamba aliyeingizwa top 5 na Wana CCM...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Rais naamini upo kwaajili ya kutetea maslahi ya watu wa nchi hii. Uliamua watumishi wote waliotolewa kazini kwa matatizo ya vyeti walipwe stahili zao. Napenda kukufahamisha kuwa hadi leo hii...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hizi ni takwimu latest kabisa kabisa za mwaka 2022 zilizotolewa mwaka huu na Shirika la Makazi Duniani UN Habitat.Tanzania ni namba 18. Mashirika ya Kimataifa Yanatambua na kuthamini kazi nzuri...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi. Binafsi Makamba nilimuona...
20 Reactions
272 Replies
14K Views
Kwa mliofuatilia teuzi za January. Akiteuliwa tu hubadili watendaji wa wizara karibia wote hadi kuvunja board za wakurugenzi? Hii ni tofauti kabisa na wengine? Shida Huwa ni Nini? Wataalam wa...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Inawezekana kwenye kundi la utumishi mwalimu sio sehemu ya utumishi huo. Kwenye ofisi za umma na kufanya shughuli za umma watumishi husika hutumia rasilimali za ofisi au kitengo kufanya mambo ya...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kimeeleweka. Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu...
9 Reactions
127 Replies
5K Views
Mahusiano Dr. Slaa na Rose Kamili Pingamizi la Rose Kamili dhidi ya Ndoa tarajiwa ya Dr. Slaa ni majeruhi anayetafuta mganga wa kienyeji amponye. Kuna dondoo kadhaa za kujiuliza katika tukio hili...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Hata huko nchini Venezuela watakuwa wamepigwa na mshangao huyu Rais wa nchi ya jamhuri ya watu wa Afrika? Nasikia kuna kundi la wasanii, viongozi wa bara na visiwani wote wapo kwenye msafara...
27 Reactions
92 Replies
8K Views
Tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu aliahidi vitu vingi na akasema yeye amekuja na nguzo nne zitakazomuongoza katika uongozi wake ambazo ni Maridhino, Ustahimilivu, Mabadiliko pia Kujenga...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Kanali Mstaafu, Joseph Leon Simbakalia kuwa Mwenyekiti wa Bodi Tendaji ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) Simbakalia ni Mhandisi wa Jeshi Mstaafu kutoka...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kimfumo TAMISEMI ndio inagusa Wizara karibia zote kisera na kiutendaji hivyo Naibu Waziri Mkuu angetoka pale ingekuwa poa zaidi. Kwanini Nishati? Na kwanini Cheo kimeongezeka na Waziri wa awali...
0 Reactions
8 Replies
762 Views
Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki. Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakenya wanajua sana mambo ya Votting block, kura zinapigwa kwa Block, ikiamuliwa jamani sisi tumpee kura zetu fulani kweli anapewa kwa asilimia nyingi sana. Wakenya wana kitu wanaita Votting...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom