Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Kama mjuavyo dunia hii ya mfumo Dume sio kazi rahisi kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu ya Urais. Sasa ni ngumu zaidi katika ulimwengu wa kiislamu kwa Mwanamke kushika nafasi ya juu...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
SOMA HABARI YOTE KABLA YA KUCHANGIA TAFADHALI. Edward Lowassa na Rais Jakaya Kikwete walikuwa ni marafiki wa dhati mbele ya macho ya watu. Kila mmoja kwa nafsi yake alikuwa na lengo lake. Mmoja...
8 Reactions
42 Replies
12K Views
Mo, Lowassa, Rostam wote waliingia kwenye siasa kulinda uwekezaji wao na mapenzi ya vyama ni fake. Ndiyo maana wameingia na kutoka. Hata Lowassa iko siku atatoka. Ukiangalia vizuri marafiki zao...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni vema Chadema ikatufafanulia huko "Kuchoka" maana yake nini Ikumbukwe kuwa kampeni za uchaguzi zimeshaanza hivyo ni vema tukaeleweshana mapema yale yajayo Ahsanteni sana 😀
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Edward Lowassa amefariki na leo tumempunzisha. Pole sana kwa Taifa na familia yake. Nimekaa, nimewaza kwa kuwa Hayati Lowassa amefanya mengi sana hapa Tanzania ninashauri yafuatayo. Baadhi ya...
2 Reactions
13 Replies
968 Views
Jana nimemsikia mtoto wa Marehemu Edward Lowassa ambaye pia ni Mtunga Sheria (Mbunge) Fred Lowassa akimshikuru Rais Samia Suluhu Hassan na kusema, "kama si Rais Samia baba asingefika Jumamosi...
26 Reactions
63 Replies
4K Views
Kwanini Uhuru wa bendera sheria nyingi znazotumika asilimia kubwa za mkoloni. Mfano: Sheria za Makosa ya Jinai Sheria hii ni ya Mkoloni sheria hii inasababisha polisi, mahakimu, na majaji...
1 Reactions
1 Replies
472 Views
Dotto alikuja kwa kasi na kunakikao akazuia TANESCO wasiingie. Kwa hali inavokwenda ni dhahiri na yeye MFUPA umemshinda. Nashauri wizara na TANESCO, shirikisheni wasomi, ombeni ushauri kwa wasomi...
4 Reactions
16 Replies
757 Views
Tukiwa Monduli hapa majira ya usiku tunakula nyama kama ishara yakumuenzi ndugu yetu na kaka yetu Lowasa. Wazee wa kimila kutoka ukanda huu wa kaskazini wanapiga soga na kubadilishana mawazo huku...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimekuwa nikishangaa sana kwa baadhi ya watanzania wenzangu kuhoji ama kushangaa kwanini ndugu Rostam Azizi anaonekana katika ziara nyingi za Mheshimiwa Rais nje ya nchi...
10 Reactions
153 Replies
9K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Mbeya kimesema kimekamilisha maandalizi ya kufanyika kwa maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Jumanne, Februari 20.2024 ambapo viongozi...
1 Reactions
2 Replies
818 Views
Tanzania wanasiasa wote ni maskini Kwa vinywa vyao wenyewe, wengi Wanamiliki nyumba za makazi na kupanga, wanamiliki mashamba makubwa ya mifugo na wakiiba sana wanakwenda kununua mabasi...
29 Reactions
101 Replies
8K Views
Huu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu. Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi...
18 Reactions
244 Replies
10K Views
Ndio sababu maeneo mengine akifariki kiongozi Wasifu wa Marehemu husomwa na Wanafamilia baada ya kukusanya taarifa za maisha yake binafsi kuanzia alipozaliwa na Historia ya Utumishi wake husomwa...
1 Reactions
2 Replies
640 Views
Kupitia bunge leo kupiga kura ya kuadhimia kuondoa kipengele cha sharti mwajiliwa wa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama kupita jkt au jku, serikali inapaswa kuomba msamaha maana kigezo hiko...
1 Reactions
2 Replies
570 Views
Nilifuatilia kuagwa kwa mwili wa Hayati Edward Lowassa pale kalimjee hall sikuweza kumuona muheshimiwa Pinda na pale ndio ilikuwa sehemu sahihi ya viongozi mashuhuri na wastaafu kumuaga hayati...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
Kwa jinsi walivyopatikana na kuteuliwa na Tume ya Uchaguzi kuwa Wabunge Viti Maalum ni wazi kuwa ni chawa wa CCM. Kuthibitisha hilo ni jinsi Mihimili yote 3 inavyotumia nguvu kubwa kuwalinda licha...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Tuhuma za awali hizi hapa - TAKUKURU chunguzeni Halmashauri ya Mji wa Kibaha pananuka wizi kuhusu ardhi
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwenu wataalamu wa mambo ya siasa, je ilikuwa sahihi kamati ya mazishi ambayo inaongozwa na PM kuandaa historia ya hayati Lowasa bila kuhusisha kuhamia upinzani? Mama alipokuja kuhutubia yeye...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom