Nauona mitihani mkubwa kwa waziri Dotto Biteko kuhusu Nishati.
Hii Wizara ina upigaji mwingi kwa watu wasio waadilifu ila kwa mwaadilifu wala hakuna shida wizarani.
Sasa, Waziri mpya mfano...
Tofauti na wengi wanaoona ,uteuzi wa Naibu Waziri Mkuu umekuja kufuatia mamlaka kutomuamini Waziri Mkuu lakini mtazamo huo upo tofauti na mtazamo wangu.
Kwa mtazamo wangu, mamlaka imemuamini sana...
MATENGENEZO YA GARI TOYOTA HILUX VIGOR DFP 6939
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Mpanda (Eng Hussein Salum Nyemba) aliyepewa usukani na wizara ya Maji kuiongoza taasisi hiyo muhimu kwa ajili ya...
Nimesikitishwa na kitendo cha BASATA kumzuia msanii Ney wa Mitego kuandaa show huko Njombe hii sio mara ya kwanza na naona kuna kila dalili Ney wa Mitego akazuiliwa kualikwa kwenye matamasha yote...
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya Songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa.
Hii hali inahatarisha uchumi wa...
Nina ujumbe mfupi Kwa vijana WA CCM Tu yakuwa January Makamba wa 2015-2020 sio Jaunuary Makamba wa 2023-2024 ili hata nyie mtanielewa.
Popularity ya January Makamba aliyeingizwa top 5 na Wana CCM...
Rais naamini upo kwaajili ya kutetea maslahi ya watu wa nchi hii. Uliamua watumishi wote waliotolewa kazini kwa matatizo ya vyeti walipwe stahili zao.
Napenda kukufahamisha kuwa hadi leo hii...
Hizi ni takwimu latest kabisa kabisa za mwaka 2022 zilizotolewa mwaka huu na Shirika la Makazi Duniani UN Habitat.Tanzania ni namba 18.
Mashirika ya Kimataifa Yanatambua na kuthamini kazi nzuri...
January Makamba, mtoto wa Katibu Mkuu mstaafu wa CCM amekuwa akiandamwa katika mitandao mingi ya kijamii na kujaribu kuaminisha umma ya kuwa ni mtu hafai katika uongozi.
Binafsi Makamba nilimuona...
Kwa mliofuatilia teuzi za January. Akiteuliwa tu hubadili watendaji wa wizara karibia wote hadi kuvunja board za wakurugenzi?
Hii ni tofauti kabisa na wengine? Shida Huwa ni Nini? Wataalam wa...
Inawezekana kwenye kundi la utumishi mwalimu sio sehemu ya utumishi huo. Kwenye ofisi za umma na kufanya shughuli za umma watumishi husika hutumia rasilimali za ofisi au kitengo kufanya mambo ya...
Kichwa cha habari kimeeleweka.
Kwa faida ya wengi, waliokuwepo na wasiokuwepo awamu zilizopita. kila mmoja wetu ana mtazamo wake tofauti na wa mwengine, tujadili mafanikio na madudu ya awamu...
Mahusiano Dr. Slaa na Rose Kamili
Pingamizi la Rose Kamili dhidi ya Ndoa tarajiwa ya Dr. Slaa ni majeruhi anayetafuta mganga wa kienyeji amponye. Kuna dondoo kadhaa za kujiuliza katika tukio hili...
Hata huko nchini Venezuela watakuwa wamepigwa na mshangao huyu Rais wa nchi ya jamhuri ya watu wa Afrika? Nasikia kuna kundi la wasanii, viongozi wa bara na visiwani wote wapo kwenye msafara...
Tangu aingie madarakani Rais Samia Suluhu aliahidi vitu vingi na akasema yeye amekuja na nguzo nne zitakazomuongoza katika uongozi wake ambazo ni Maridhino, Ustahimilivu, Mabadiliko pia Kujenga...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Kanali Mstaafu, Joseph Leon Simbakalia kuwa Mwenyekiti wa Bodi Tendaji ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO)
Simbakalia ni Mhandisi wa Jeshi Mstaafu kutoka...
Kimfumo TAMISEMI ndio inagusa Wizara karibia zote kisera na kiutendaji hivyo Naibu Waziri Mkuu angetoka pale ingekuwa poa zaidi. Kwanini Nishati?
Na kwanini Cheo kimeongezeka na Waziri wa awali...
Mimi binafsi kama raia wa kawaida nilitarajia kusikia watetezi wa Rais Samia wakijibu hoja za Lissu, Mwambukusi na wengineo kwa hoja zenye mantiki.
Mfano, kwa nini IGA ni mkatataba tayari kama...
Wakenya wanajua sana mambo ya Votting block, kura zinapigwa kwa Block, ikiamuliwa jamani sisi tumpee kura zetu fulani kweli anapewa kwa asilimia nyingi sana.
Wakenya wana kitu wanaita Votting...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.