toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kuna yule mbunge wa Chato nadhani mhe Medard Kalemani ni kosa gani kubwa ambalo Kalemani alifanya hadi kutorewa nishati?
Alikuwa mchapakazi, hakuwa mswahili hata kidogo alikuwa hapendi uzembe wala kuvumilia ujinga ujinga au uswahili kazini
Matunda ya kuona faida ya umeme tumeona kupitia kalemani kipind chake umeme haukusumbua kabisa
Ilikua ikitokea uzembe tu lazima mtu atumbuliwe au onyo kali nikashangaa yule mtu alitolewa Tanesco na wizara nishati bila sababu zozote
NAULIZA KALEMANI ALIFANYA KOSA GANI HADI AKATOLEWA KWENYE UWAZIRI?
Alikuwa mchapakazi, hakuwa mswahili hata kidogo alikuwa hapendi uzembe wala kuvumilia ujinga ujinga au uswahili kazini
Matunda ya kuona faida ya umeme tumeona kupitia kalemani kipind chake umeme haukusumbua kabisa
Ilikua ikitokea uzembe tu lazima mtu atumbuliwe au onyo kali nikashangaa yule mtu alitolewa Tanesco na wizara nishati bila sababu zozote
NAULIZA KALEMANI ALIFANYA KOSA GANI HADI AKATOLEWA KWENYE UWAZIRI?