Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,220
Maandamano makubwa yaliyo fanyika Jana toka pande tofauti za jiji la Mwanza yamehitimisha dhana kuwa Ziara ya mwenezi wa CCM Makonda kanda ya ziwa iliyokuwa ina tafsiriwa ni kifo cha siasa za upinzani hasa Chadema ni usanii mtupu.
Juhudi kubwa imefanyika hasa na media kudhoofisha maandamano hayo lakini ajabu ni kuwa watu bila kusombwa au kulazimishwa kutoka makazini walifurika kutoa ujumbe kwa serikali ya CCM bila woga.
Tuliwaambia kuwa afanyacho Makonda ni kukusanya watu kuinanga serikali ya chama chake na kuwatukana viongozi wake na baada ya show hiyo watu wanatawanyika huku wakiwaacha wenye fikra za kijinga kuona kawasaidia kumbe kawapotezea muda kwa huo usanii.
Ni wazi kwenye uchaguzi huru na haki na ukilindwa na katiba makini basi saa 4 asubuhi CCM chali kabisa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Juhudi kubwa imefanyika hasa na media kudhoofisha maandamano hayo lakini ajabu ni kuwa watu bila kusombwa au kulazimishwa kutoka makazini walifurika kutoa ujumbe kwa serikali ya CCM bila woga.
Tuliwaambia kuwa afanyacho Makonda ni kukusanya watu kuinanga serikali ya chama chake na kuwatukana viongozi wake na baada ya show hiyo watu wanatawanyika huku wakiwaacha wenye fikra za kijinga kuona kawasaidia kumbe kawapotezea muda kwa huo usanii.
Ni wazi kwenye uchaguzi huru na haki na ukilindwa na katiba makini basi saa 4 asubuhi CCM chali kabisa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app