johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,979
- 141,996
Mungu ni mwema Wakati wote
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.
Hatimaye Freeman Mbowe apewa nafasi ya kuzungumza Msibani kwa Lowassa.
--
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijafurahia kitendo cha kutotajwa katika historia ya Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa.