toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kweri huyu alikua shujaa hii clip ya Magufuri akiuliza ishu ya umeme imenifanya nilie
Wapendwa hapa nalia muda huu Tanzania haitokuja kupata shujaa kama huyu
Huyu baba alikua anajua shida za watu wa chini alijua tunatesekaje baba huyu
Nimeangalia nikaangukwa na machozi kwanini Mungu ulimchukua Magufuri? Kwanini baba Mungu uliruhusu?
Leo wananchi wamebaki kama yatima hawana mtetezi
Hii video imenitonesha vidonda vilivyokua vimepona
Wapendwa hapa nalia muda huu Tanzania haitokuja kupata shujaa kama huyu
Huyu baba alikua anajua shida za watu wa chini alijua tunatesekaje baba huyu
Nimeangalia nikaangukwa na machozi kwanini Mungu ulimchukua Magufuri? Kwanini baba Mungu uliruhusu?
Leo wananchi wamebaki kama yatima hawana mtetezi
Hii video imenitonesha vidonda vilivyokua vimepona