johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,996
Nimesoma Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Lema huko X ukurasani Kwake akidai Waliotuambia Lowassa ni Fisadi jana walikaa Viti vya mbele msibani Wakijifanya kulia na kumtolea Matamko mazuri
Nimeangalia Viti vya mbele sijamuona Dr Slaa wala Tundu Lisu wa Mwembeyanga
Ndio najiuliza hivi Lema anatumia kilevi gani?🐼
Nimeangalia Viti vya mbele sijamuona Dr Slaa wala Tundu Lisu wa Mwembeyanga
Ndio najiuliza hivi Lema anatumia kilevi gani?🐼