Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nianze kwa kupongeza uamuzi wa Serikali kuamua kuitikia wito wa kuunda Tume ya kufuatilia suala la Madaktari Wahitimu Watarajali Nchini. Uamuzi huo unaonesha wazi Serikali ipo kazini na ina nia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
MBUNGE BAHATI NDINGO - NI HESHIMA KUBWA KUCHAGULIWA NANYI KUWA MBUNGE WENU MPYA Anaandika Mbunge Mpya wa Jimbo la Mbarali, Mhe. Bahati Keneth Ndingo. Wapendwa wenzangu wa Jimbo la Mbarali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais Magufuli amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, Dkt. Arnold M. Kihaule kufika Mkoani Morogoro leo na ikiwezekana akae Mkoani humo hata siku tatu ili kushughulikia tatizo la Watu wengi kukosa...
7 Reactions
167 Replies
22K Views
Shirika la Bandari Zanzibar limeingia Mkataba wa Biashara na kampuni ya AGL Group Ili Kuendesha Bandari ya Malindi ya Malindi kitengo Cha makontena Kwa miaka 5 ambapo pamoja na mambo mengine...
4 Reactions
167 Replies
16K Views
Uhuru wa kujieleza ni Haki ya Kimsingi ya Binadamu, iliyobainishwa katika kifungu cha 19 cha Azimio la Kimataifa la Haki za Kibinadamu. Hata hivyo, Baadhi ya Serikali na Watu binafsi katika...
3 Reactions
4 Replies
870 Views
Kama mitandao haina taathira kwenye Siasa za Tanzania, mbona CCM hulazimisha mitandao ifungwe au ipoozeshwe Kasi yake wakati wa Uchaguzi? Nape anadhani tumesahau jinsi kwenye uchaguzi wa 2020...
6 Reactions
10 Replies
952 Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini (Mb), ameliagiza Jeshi la Polisi kutumia sheria na taratibu zilizopo kudhibiti mtu yeyote mwenye viashiria au lengo la kuvuruga amani...
0 Reactions
3 Replies
616 Views
Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini? Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta...
25 Reactions
99 Replies
5K Views
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema “Tangu nimeteuliwa nimeelekezwa na viongozi wangu kuwa tufanye kila tunaloweza kuhakikisha mamivu ya mapungufu ya umeme...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Haya ndugu zangu hapo ni Mwanamziki nguli akiimba wimbo trna wakati Nyerere mwenyewe akiwa hai. Waliokubali kukosolewa waliongoza vema. Nikisema vema siyo kwa kunyamaza nyamaza kwenye masuala ya...
0 Reactions
1 Replies
654 Views
TANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala. Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama...
8 Reactions
41 Replies
3K Views
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo September 20, 2023 amefungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa Mzalishaji mkubwa wa...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
NWM na Waziri wa Nishati DK Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Tanesco kudhalilisha umeme na Nishati zingine unapatikana. --- Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kazi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga. Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza...
50 Reactions
140 Replies
10K Views
Msanii Nay wa Mitego anahojiwa na jeshi la polisi Dar es Salaam kutokana na wimbo wake “AMKENI” Bado najiuliza ni nani anamshauri Rais kutumia hii style kukabiliana na wote ambao hawamsifii? Rais...
16 Reactions
121 Replies
13K Views
Mwenyekiti wa taasisi ya Wanawake laki moja Vicky Kamata amesema Royal tour inaenda kubadilisha akili ya Wanakwake wajitegemee waache kuwa Ombamba. ameyasema hayo Wakati alipokutana na Wanahabari...
2 Reactions
83 Replies
6K Views
Wanabunda mpo tayari kuona mchuano wa watani wa jadi wawili Ester Bulaya na Stephen Masatu Wasira? Za chini ya kapeti wababe hawa wawili wanajiandaa kurudi ulingoni 2025.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ‘Mcheza kwao hutunzwa’ hivyo ni lazima Serikali ipeleke maendeleo Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi ili kumtunza kwa maendeleo Waziri Mkuu Kassim...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kauli zingine zinafikirisha sana. Maana dunia ya leo kila kitu kipo kidijitali. Maoni ya watu wananapiga kelele kupitia mitandao ya kijamii. Watawala wanaumia. Hao hao wanaopiga kelele...
8 Reactions
53 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na...
8 Reactions
58 Replies
7K Views
Back
Top Bottom