MILIONI 700 ZA RAIS SAMIA ZAMALIZA UJENZI WA DARAJA KOROFI LA KISERU WILAYANI KITETO-MBUNGE OLE LEKAITA
Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara
Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya...
Wadau nawasabahi,
Kuna awamu fulani ya utawala serikali ilikuwa haina fedha kabisa na fedha nyingi zilikuwa mifukoni mwa watu binafsi. Watu hao binafsi huzipata fedha hizo kutoka serikalini...
Benki ya Dunia wametoka ripoti Yao kuhusu Haki ya uchumi wa Tanzania na Maendelea ya watu
Pamoja na mambo mengine wamesifu uimara wa uchumi wa Tanzania wakisema licha ya mitikosiko ya uchumi wa...
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani.
Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha...
Wakuu napenda kujulishwa ni mgombea yupi kutoka vyama vya upinzani aliyewahi kuichachafya CCM vibaya sana katika chaguzi kuu zilizopita tangu mfumo wa vyama vingi ulipoasisiwa 1st July,1992 kati...
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?
NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina...
Kuratibu na kulinda misafara ya viongozi si jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani. Kuwa na mazingira wezeshi ya kulinda misafara hiyo pia si jambo la Polimi lai!!
Naona watu wengi pamoja na...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!!!!
Napenda kuchukua fursa hii kwa furaha kubwa kuwaaga wana Moshi na viunga vyake niwashukuru sana kwa muda wa miezi mitatu kasoro...
................, (Salamu kwa kilugha chenu)
Ndugu zangu wa Tz, naomba niweke wazi msimamo wangu, mm naunga mkono uwekezaji katika bandari na nyanja nyingine zote katika nchi hii ENDAPO kutakuwa...
MBUNGE LUCY SABU NA USHIRIKI WA ZIARA YA UONGOZI WA UWT TAIFA MKOA WA SIMIYU
Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa) Mkoa wa Simiyu, Mhe. Lucy John Sabu ameshiriki katika ziara ya viongozi wa...
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina:
Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08
https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo
Umuhimu...
Walikuwa wakihojiwa na waandishi wa habari na wamesema inawalazimu kuvuka mpaka kufata Mafuta ya bei rahisi Tanzania
Mjadala unaendelea Citizen TV
Karibu sana 😃😃
Mlale Unono 😃
#CCM BABA LAO,
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa,
Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi...
Toto afya kadi au bima ya afya kwa wote; Serikali isitafute njia ya mkato kulinda afya zetu
Utangulizi
Katika mjadala unaoendelea nchini kuhusu hatima ya Toto Afya Kadi baada ya kauli za Serikali...
Kufuatia maelekezo ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) ya kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, Zainab Mbunda...
17 September 2023
UMOJA WA MATAIFA, NEW YORK
DR. PHILIP MPANGO MKUTANO WA BARAZA KUU LA UMOJA WA MATAIFA UNGA-78 SEPT.2023
Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuanza tarehe 18 September...
Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la Upungufu wa Umeme karibia kila mwaka licha ya kuwepo ahadi za kuondokana na tatizo hilo mara kwa mara kutoka kwa Mamlaka na Viongozi wake
Kwa takriban...
Hao jamaa kwa kitendo cha kugomea nafasi waliopewa na mh Rais kwenda kumsaidia kutekeleza ilani ni tatizo kubwa sana.
Na chakushangaza maafisa utumishi katika Halmashauri mbalimbali nchini...
Utawasikia hata waheshimiwa, viongozi wa Taasisi za Serikali na Mashirika wakisema "Tunasherehekea miaka 59 ya Muungano wetu wa Tanzania Bara na Zanzibar
Kilicho wazi ni kwamba Upande wa Bara...
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla.
R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.