Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dmitri Tsafendas alikuwa karani wa bunge la Afrika Kusini wakati wa utawala wa makaburu waliokuwa wanaendeleza ubaguzi wa rangi, chini ya waziri mkuu wa wakati huo Dr Verwoerd. Huyu Dr Verwoerd...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mbowe: Kikwete ameelemewa na Salehe Mohamed Tanzania Daima~Sauti ya Watu MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema Rais Jakaya Kikwete anahitaji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mkuu wa Trafiki tuseme ndiyo hajui kinachotokea siku za Jumatatu kila wiki, mara 52 kwa mwaka katika barabara ya Buguruni-Kwa Nyerere? Invyoelekea usalama au uchafuzi barabarani katika...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wadau, Hivi karibuni nimepata kupokea ujumbe huu kwenye inbox yangu toka kwa watu tofauti tofauti,nikatafakari yale yaliyomo na yale tunayojadili hapa jf,nikahisi kwamba labda kuna kuna...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
JK: Watakaothibitika kuua albino kunyongwa na Esther Mbussi RAIS Jakaya Kikwete amesema wale wote watakaobainika na hatia ya mauaji ya maalbino nchini watakabiliwa na adhabu ya kifo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi, Tanzania sasa tunahujumiwa hata na balozi zetu, hii sasa inatisha kisa chenyewe kiko hivi. Mimi ni Mtanzania ninaishi Denmark ingawa sio mwanachama rasmi wa umoja wa...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Jengo la kale Bagamoyo nusura limmalize Mchina 2008-10-17 22:22:34 Na Daniel Mkate, Bagamoyo Mchina mmoja ambaye alikuwa msimamizi wa kampuni ya ujenzi ya CHICO inayobomoa jengo la kale...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Risasi zarindima Kariakoo POLISI Dar es Salaam jana walilazimika kufyatua risasi hewani baada ya kutokea mtafaruku kati ya wafanyabiashara ndogondogo, mgambo wa jiji na maofisa wa Taasisi ya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
..nimestaajabu kusikia haya. ..je Butiama ilistahili maendeleo yote haya? ..tukihalalisha alichofanya Mwalimu kwa Butiama, tutaweza kuharamisha anachofanya Kikwete kwao Lugoba...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Ufisadi wazua balaa kongamano la siasa 2008-10-18 10:32:03 Na Simon Mhina Kimbunga cha ufisadi bado kinakitesa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiasi kwamba, sasa hali ya mgawanyiko...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele, Naomba kuuliza, kabla Ali Hasan Mwinyi hajateuliwa kuwa Rais wa Zanzibar Baada ya kujiuzulu Aboud Jumbe mwaka 1984, Mwinyi alikuwa na wadhifa gani mwaka huo wa 1984?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kesho Ijumaa aliyekuwa Mwandishi wa ITV huko Mara Bw. George Marato anatarajiwa kuwa na mkutano na waandishi wa habari kujibu madai yaliyotolewa na Jukwaa la Wahariri kuwa alihusika katika...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Lipumba: Tumkumbuke Mwalimu Nyerere Siku ya Kuzaliwa Mwandishi Wetu Oktoba 15, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo Asema aliowaamini ndio waliovuruga nchi MWENYEKITI wa Chama cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
2008-08-09 09:37:58 Na Simon Mhina Kuna taarifa kuwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kumshawishi Profesa Samwel Wangwe Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, awanie ubunge Jimbo la...
0 Reactions
2K Replies
214K Views
Utulivu wa maji ndani ya mtungi, au tunanyolewa? Rai ya Jenerali Ulimwengu Oktoba 15, 2008 Raia Mwema~Muungwana ni itendo HEBU sasa tujaribu kuchora picha ya hali ya nchi yetu, lengo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo Mabere Marando ametangaza wazi wazi kwamba baada ya Mhariri wa MwanaHalisi kutishiwa na Karamagi yeye alimwandikia Mhariri na kumthibitishia kwamba atawatetea bure na amewataka Umoja wa...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Serikali isilaumiwe kwa hali ngumu ya maisha-JK 2008-10-13 10:24:10 Na Thobias Mwanakatwe, Kyela Rais Jakaya Kikwete amesema kushuka kwa uchumi wa dunia hivi sasa ni lazima kutaathiri...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari zenu wana wa Jamii forums. Katika lengo letu la kuwaelimisha wananchi tumeanzisha weblog http://www.hakinaumma.wordpress.com. Karibuni sana kutembelea weblog hiyo/
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sitta faults court on `tainted` oil move 2008-10-10 12:12:40 By Rodgers Luhwago National Assembly Speaker Samuel Sitta has expressed ``profound shock`` over the issuance of an injunction...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mahakama ya Nigeria imepitisha hukumu kwa kampuni ya Shell BP kuwarudishia wananchi wake ardhi ambayo ndiyo yenye mradi mkubwa wa uchimbaji mafuta!...Hii ilikuwa moja ya ahadi ya rais wao mpya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…