Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Leo Mabere Marando ametangaza wazi wazi kwamba baada ya Mhariri wa MwanaHalisi kutishiwa na Karamagi yeye alimwandikia Mhariri na kumthibitishia kwamba atawatetea bure na amewataka Umoja wa Wapinzani wakifikishwa Mahakamani atatumia pesa zake kuwatetea bure .
Your Say now
Your Say now