Kama unadaiwa na serikali basi hawa ndio watakuja kukudai
Madalali 11 waomba kukusanya Fedhaza Ufisadi..
KAMPUNI 11 za udalali zimeomba zipewe kazi ya kukusanya Sh bilioni 199...
Ninadhani sifa kuu ya wana CCM ni kulinda maslahi ya chama chao kwa nguvu zote. Hii inatokana na maamuzi ya CC-CCM ya hivi majuzi kuwashughulikia viongozi wa Jumuiya ya Wazazi na Katibu wa CCM wa...
Ulaya na Marekani rasmi sasa hoi bin taabani WATANZANIA TUANZE KUJIANDAA KUFUNGA MIKANDA KWA MIEZI ISHIRINI NA NNE na pengine zaidi na kama tusipokuwa watundu na wabunifu na kuachana na mazoea...
Mgombea mmoja wa nafasi ya Ujumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi wa CCM taifa amemwaga `lazi` kuanzia mchana wa jana hadi usiku wa kuamkia leo baada ya kuwalisha misosi wajumbe kibao wa...
Huyu mwanamama anaiturn one with her intelligence,sense of perspective, real genuine lady there. Can you imagine akigombana na mumwewe basi inaelekea zitakuwa the most intellectual "throw downs"...
Imetolewa mara ya mwisho: 13.11.2008 1119 EAT
Kabwe afurahia sitofahamu CCM
Na Said Mwishehe
Majira
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema...
Wanaforum,
Sheria moja ya kazi huwa inaweka conditions za mtu kulipwa mafao baada ya kuacha kazi; sheria hii huwa inaelekeza kuwa mtu atalipwa mafao yake ya mwisho endapo tu mtu huyo ataacha...
Unaombwa utoe ushauri wa jinsi ya kutatua matatizo ya elimu ya Juu nchini ili hatimaye:
a. Migomo isiyo ya lazima isitokee
b. Elimu ya Juu inapatikana kwa kila atakaye
c. Familia zinaweza...
na Mwandishi Wetu
MGOMBEA wa nafasi ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) NEC, Shyrose Bhanji, jana aliwatoa machozi wajumbe wa NEC, alipotoa maneno ya shukrani baada ya...
Nimekutana na habari hii kwenye Gazeti la Mwananchi inayotaja jina la Mh Mkuchika na kujiuliza kama ule "mgomo" umekwisha au laa
Serikali yajikuta katika mtego wa kuliadhibu gazeti lake
Na...
PCCB acts tough against corruption
ANNE ROBI
Daily News; Thursday,November 13, 2008 @21:15
The Director General of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) Dr Edward Hosea...
Hadi gazeti la Guardian litutangazie kuwa Waziri wetu ameficha Bilioni kisiwani Jersey (thanks Yebox2) wao kina RO walikuwa wapi?
Hadi Kamati Teule ilipotuambia rasmi kuwa RDC ni kampuni hewa...
hili ni mojawapo ya maswali ambayo bado sijapata majibu yake kwa hakika. Mara nyingi tumeona jinsi sekta binafsi (makampuni kadha wa kadha na watu binafsi) wakiunga mkono chama tawala aidha kwa...
Date::11/10/2008
Makamba chupuchupu tena
Na Ramadhan Semtawa, Dodoma
Mwananchi
NJAMA za kumngoa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Yusuph Makamba, zimegonga ukuta.
Kugonga...
Zanzibar ni nchi ndani na nje ya Tanzania
Hatukuchanganya utaifa bali uraia
Mjadala haujafungwa, bado unaendelea
Zanzibar daima jana, leo na kesho
Na Mohammed Khelef Ghassani...
Na Said Mwishehe, Majira
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Bw. Zitto Kabwe amesema anafurahishwa na hali ya mvurugano inayoendelea ndani ya Chama chaMapinduzi (CCM) na hasa kauli...
Sultan Seif Sharrif Hamad ameshachukua fomu za kugombea tena nafasi ya katibu mkuu wa CUF. Lipumba yeye amesema ataamua wiki moja kabla ya uchaguzi wa chama hicho ili kutowatisha wanachama wengine...
Gold has tailings
Anne Outwater
Daily News; Saturday,November 08, 2008 @21:15
I feel relief every time I read that the mining contracts are about to be reviewed. It may relieve some of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.