Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa amefariki dunia katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametangaza hii leo.
Rais Samia Suluhu kafanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri na mwanasheria mkuu wa Serikali kama ifuatavyo
Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza tarehe rasmi ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ambayo ni Oktoba 28, 2020.
Aidha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa...
Tanzania imethibitisha kisa kimoja cha virusi vya corona. Mgonjwa ni mwanamke wa miaka 46 raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji kwa ndege ya shirika la ndege la Rwanda Air.
Kwa mujibu wa...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amesema kuwa Membe aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Tanzania amefukuzwa ndani ya chama hicho
Amesema uamuzi huo umekuja...
Matokeo ya uchaguzi mkuu Chadema yametangazwa ambapo Freeman Mbowe amepata ushindi wa Tsunami. Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka kumi na tano sasa alishangiliwa mno na wajumbe wakati...
Godbless Lema: Nimesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge mpaka January 2020. Moyo wangu una amani sana, kwani mahusiano yangu na HAKI yanaendelea kuimarika zaidi. Nawatakia Wabunge wenzangu kazi...
Dkt. Bashiru Ali amempokea Zuberi Mohamed aliyekuwa Mbunge wa CUF Liwale Mkoani Lindi.
Anasema anarejea CCM imebadilika. CCM aliyoiacha mwaka 2005 sio hii ya leo. Hii CCM ya awamu ya tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.