Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

*VIKAO VYA WABUNGE VYAANZA KUJADILI UTEKELEZAJI WAKE Na Exuper Kachenje MZIMU wa Kampuni ya Richmond Development (LLC), uliowekwa kiporo katika kikao cha Bunge kilichopita, unatarajiwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kupagawishwa na kilimo cha Korea Kusini, Mheshimiwa Pinda leo anatusimulia maajabu aliyoyaona India. --- Nanukuu --- “I was in India recently and I was surprised that ministers are...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Wadau naomba Ushauri wenu. Nafikiria kuacha kupiga kura kwa kuwa tangu nianze kupiga kura, sijawahi kumchagua aliyeshinda. Sasa naona kuliko kupiga kura wakati nayempigia kura huwa hashindi, ni...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Kuna Watanzania wanaanzisha matawi ya CCM nchini UK ,miji ya Reading,Birmingham,Southampton ,London na Manchester. Cha kushangaza sijui wanapata muda upi wa kuchezea,na je hizi ofisi nani anazi...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
kuna thread ilitoka hapo siku za nyuma, ikidai UDOM inajengwa kisiasa.me kwamtazamo wangu, hakuna mahala popote na sehem yoyote duniani, kukiwa na kitu cha maendeleo pasipo ingiliwa na siasa.ni...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimekaa na kufikiria kitu. Nchi yetu tunasema ni secular na dini na serikali havi fungamani. Tunasema serikali haina dini lakini watu ndani ya serikali wana dini. Swali langu linakuja kama ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ailing ATCL in posh car scam Air Tanzania Company Limited (ATCL), surviving on government subsidy, is under probe for alleged purchase of more than 15 luxury vehicles, for its top bosses for...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani tumefikia hapa? Huu mkataba ulisainiwa lini? Wapi na nani alihusika? Tanzania itanufaika vipi? Hayo ni baadhi ya maswali niliyojiuliza baada ya kuiona taarifa hii ambayo tayari imegonga...
0 Reactions
238 Replies
22K Views
Wakuu najua kwa namna moja ama nyingine mmepata usumbufu wa takribani dakika 120 na ushee hivi kwa kukutana na ujumbe ambao huenda haukueleweka kwa wengi na ulikuwa si mzuri. Kuna mtu kajaribu...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
MSEMAJI wa familia ya Nyerere, Chifu Japhet Wanzagi amesema wanasikitishwa kuona viongozi wengi wa serikali wameacha mstari wa uadilifu aliochora hayati Mwalimu Julius Nyerere na badala yake...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hizi siasa chafu tutazishuhudia sana mwakani na 2015 ndio itakuwa balaa kabisa. Mtandao walianzisha, sasa wamejiunga na wengine kwenye mambo ya kuchafuana. Urais CCM balaa • Malecela, Dk...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Haya ndiyo maneno aliyobwabwaja huyu mchungaji mwaka 2005, aliutamani ufalme wa siasa na kuambulia patupu TV ya INJILI Kwenye Internet - WWW.GOSPELGTV.COM Tel. 254722602445 E-mail...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mabaki ya mabomu 2 yalipuka na kuua watoto wawili walio kuwa wakicheza kwenye migomba na kuwaacha 4 wakiwa wamejeruhiwa vibaya. More news stay tuned. Watoto hawa wamenusurika kupata mauti...
1 Reactions
77 Replies
13K Views
jamani naomba kuuliza,ni kweli kuwa serikali ya ccm(chama cha mafisadi) imelipiga marufuku lile tangazo la sidanganyiki linalohusiana na uchaguzi ambalo linaonekana wazi kuwa lilikuwa la kuwananga...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hivi ni makabila yapi tanzania yanayo keketa wasichana?mi nilikuwa sijui kama wachaga pia nao wanawa keketa wasichana,ningefurahi nikapata orodha yote ya makabila hayo tanzania.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mbunge kuwasilisha hoja kupinga mijadala ya dini Exuper Kachenje na Fred Azzah MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM), jana ametangaza rasmi kuwa atatimiza ahadi yake ya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
KWA wiki kadhaa sasa nimejaribu kudadisi mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakitokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jinsi yanavyoathiri mustakabali wa demokrasia nchini. Kuna wakati nilifanya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Friday, 18 September 2009 Na Mercy James Majira RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza juhudi za pamoja za serikali yake kuvutia wawekezaji na kubainisha kuwa hakuna uchumi wa nchi yoyote duniani...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Ni katika sakata la Richmond Uswaiba na Kikwete majaribuni Na Saed Kubenea MwanaHALISI~Maslahi ya Taifa Mbele MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, aweza kufikishwa mahakamani kwa makosa ya...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
UHUSIANO mbaya kati ya uongozi wa Wizara ya Nishati na Madini, Bodi ya Shirika la Umeme (TANESCO) na Mkurugenzi Mkuu Dk. Idris Rashid ndio chanzo cha nafasi yake kutangazwa harakaharaka kuwa i...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom