Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MSEMAJI wa familia ya Nyerere, Chifu Japhet Wanzagi amesema wanasikitishwa kuona viongozi wengi wa serikali wameacha mstari wa uadilifu aliochora hayati Mwalimu Julius Nyerere na badala yake...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hizi siasa chafu tutazishuhudia sana mwakani na 2015 ndio itakuwa balaa kabisa. Mtandao walianzisha, sasa wamejiunga na wengine kwenye mambo ya kuchafuana. Urais CCM balaa • Malecela, Dk...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Haya ndiyo maneno aliyobwabwaja huyu mchungaji mwaka 2005, aliutamani ufalme wa siasa na kuambulia patupu TV ya INJILI Kwenye Internet - WWW.GOSPELGTV.COM Tel. 254722602445 E-mail...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Mabaki ya mabomu 2 yalipuka na kuua watoto wawili walio kuwa wakicheza kwenye migomba na kuwaacha 4 wakiwa wamejeruhiwa vibaya. More news stay tuned. Watoto hawa wamenusurika kupata mauti...
1 Reactions
77 Replies
13K Views
jamani naomba kuuliza,ni kweli kuwa serikali ya ccm(chama cha mafisadi) imelipiga marufuku lile tangazo la sidanganyiki linalohusiana na uchaguzi ambalo linaonekana wazi kuwa lilikuwa la kuwananga...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hivi ni makabila yapi tanzania yanayo keketa wasichana?mi nilikuwa sijui kama wachaga pia nao wanawa keketa wasichana,ningefurahi nikapata orodha yote ya makabila hayo tanzania.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mbunge kuwasilisha hoja kupinga mijadala ya dini Exuper Kachenje na Fred Azzah MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM), jana ametangaza rasmi kuwa atatimiza ahadi yake ya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
KWA wiki kadhaa sasa nimejaribu kudadisi mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakitokea ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jinsi yanavyoathiri mustakabali wa demokrasia nchini. Kuna wakati nilifanya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Friday, 18 September 2009 Na Mercy James Majira RAIS Jakaya Kikwete amesisitiza juhudi za pamoja za serikali yake kuvutia wawekezaji na kubainisha kuwa hakuna uchumi wa nchi yoyote duniani...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Ni katika sakata la Richmond Uswaiba na Kikwete majaribuni Na Saed Kubenea MwanaHALISI~Maslahi ya Taifa Mbele MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa, aweza kufikishwa mahakamani kwa makosa ya...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
UHUSIANO mbaya kati ya uongozi wa Wizara ya Nishati na Madini, Bodi ya Shirika la Umeme (TANESCO) na Mkurugenzi Mkuu Dk. Idris Rashid ndio chanzo cha nafasi yake kutangazwa harakaharaka kuwa i...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Thousands of fake CCM cards printed AN elaborate ’internal’ plot to remove from leadership corruption-free Chama Cha Mapinduzi (CCM) members and replace them with those who embrace the vice is...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
U.S., Russia discuss Iran sanctions Reuters – Iran's President Mahmoud Ahmadinejad addresses the 64th United Nations General Assembly at the U.N. … By GEORGE JAHN, Associated Press...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Tanzania ilianza vibaya ndiyo maana inaelekea pabaya. Kuanzia wakoloni na Nyerere waliotutawala, Wote waliifanya Tanzania kuanza vibaya. Lazima tuanze upya vizuri, ili tuelekee pazuri. Watanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuliwalaumu sana. Tuliwasema sana. Tuliwakejeli sana. Tukasema wana kasumba. Tukadai hawakumbuki wanakotoka. Tukasisitiza ni vibaraka. Lakini leo wanafanya mambo makubwa huko Ulaya na...
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Asilimia 45 mabosi wa BoT wakabiliwa kesi za ufisadi Na Mwandishi wetu 22nd September 2009 B-pepe Chapa Maoni Jumla yao sasa ni watano Wapo pia maofisa waandamizi Ni za EPA, Majengo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Tanzania Railways Limited (TRL) technicians yesterday asked an investor in the company, Rites Consortium of India, to support maintenance of locomotives and engines rather than sabotaging the...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nimesoma makala ya kusifiwa Mbowe na waandishi wake alianza KIBANDA sasa kaja huyu mwenzake.
0 Reactions
34 Replies
4K Views
randal sadler whose sympathy for the tanzanian nationalist cause won him the adminiration of Nyerere,has died aged 85.Of irish descent,became tanganyika youngest district commissioner.After...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Heri ya Mwaka Mpya ndugu na jamaa. Mwishoni mwa mwaka jana 2008 wakati wa sikukuu ya Thanksgiving, moja wa wageni waliokuja nyumbani kwangu alikuwa ni Mmarekani aliyeniuliza kwa nini Afrika...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom