Kiroroma
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 370
- 114
Waheshimiwa hawa wameyasema yote,lakini mbona hawasemi nini kifanyike?Na tuanzie wapi?...........Ni dhahira uongozi ulioko madarakani umeshindwa na kwa makosa hayo hayo viongozi hawa watarudi madarakani 2010!!!Sasa Salimu,Warioba, na Butiku mnaishia kuzungumza tuu kama mmeyaona mapungufu yote??Nadhani kuna haja ya kufikiria a loud zaidi juu ya hoja za wazee wetu hawa,Na kufanya mabadiliko kwani hapo paka keshafungwa kengele sasa kazi ni kuwatoa ndani ya madaraka kwa njia aidha halali au zisizo halali alimradi kuwe na mabadiliko chanya.
Last edited: