Madiwani Korogwe wamtimua mhasibu, DED amkingia kifua
Tuesday, 29 September 2009 16:30
Na Yusuph Mussa, Korogwe
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe wamemtimua...
Waliofanyiwa mtihani IFM wakalia kuti kavu
Thursday, 01 October 2009 08:19
Grace Ndossa na Neema Kalaliche
WANAFUNZI wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) waliofanyiwa mtihani wa...
RAIS wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amani Abeid Karume amesema hali ni shuwari Zanzibar na kuwataka wanasiasa katika Kisiwa cha Pemba kupingana kwa hoja na wale...
Salaam,
Niko ndani ya ukumbi huu wa AICC unapofanyika mkutano wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola. CBA.
Kinachoendelea sasa ni wajumbe wameshakaa sehemu zao, unasubiriwa ujio wa Rais...
Jana katika taarifa mbalimbali za habari, Makamu wa Rais Mh. Dr. Shein alisikika akiwahutubia wananchi kwamba serikali inatambua matatizo ya waalimu kama ambavyo yeye na viongozi wenzanke...
Chama cha Mapinduzi (CCM), Serikali yake na watendaji wa umma (civil servants) wanatangaza na kuhamasisha sera/kauli mbiu mpya ya KILIMO KWANZA. Taifa letu limepita katika vipindi mbalimbali...
Godfrey Dilunga
UNAPOZUNGUMZIA uwezo wa kiuongozi wa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, yapo masuala muhimu ambayo ni lazima kuyataja, kuyatafakari na hata kuhoji. Masuala kama kifo cha...
Aliwachachafya maprofesa Mlimani
Alikwenda vitani Vietnam na Msumbiji
Na Born Again Pagan
KWA wale wenye kupenda kumjua Yoweri Kaguta Museveni, mwanafunzi wa Mlimani, someni yafuatayo...
Kule nako kuna madudu kibao yanaendelea na pamoja na uhuni unaofanywa na baadhi ya watu kama vile kutolipa intime ni ukweli usiopingika kuwa itakuwa ni project ambayo CCM na JK atajivunia sana...
wana jamvi mimi ni mchanga kwenye siasa ila najaribu kufuatilia kwa karibu yanayojiri kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi....
kwenye taarifa ya habari ya saa2 usiku TBC1 mzee Msekwa alikuwa...
Akiongea na BBC Juma Duni Haji "Babu" amesema wameshinikiza tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa kuwa iliyopo inafanya kazi kama kamati ya CCM kwa kukipendelea chama hicho kikongwe.
Duni...
SIKU moja baada ya Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume kuwahakikishia wananachi na wageni kuwa Zanzibar ni shuwari na atakayetaka kutembelea anakaribishwa mripuko mkubwa umetokea katika nyumba...
Ni kawaida kuona wanasiasa wakiwarubuni wananchi kwa kuwapa maneno matamu sana na yenye matumaini hapo mbeleni. Lakini cha kushangaza utekelezaji wake ni karibia na kipindi cha uchaguzi ndo utaona...
CHAMA cha Wananchi (CUF) jana kilitekeleza azma yake ya kuzipinga Tume za Tanzania na Zanzibar( Nec na Zec) kwa maandamano na kusisitiza kuwa tume hizo zivunjwe, ili ziundwe tume mpya huru...
Nimesoma magazeti ya leo asubuhi SPIKA 6 anatoa statements za kudai kuwa hatuna gharama tuliyoingia kwenye mkutano huu
Jambo hili sitaki kuliamini kwa sababu SPIKA 6 si mwadilifu yapotokea madili...
WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kimepanga kufanya maandamano makubwa kuanzia Buguruni Sheli hadi kwenye Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, msajili huyo amepiga marufuku maandamano kufika katika...
France's Economy Minister Christine Lagarde attends a session at the World Economic Forum (WEF) in Davos on January 31, 2009.
By OLIVER MATHENGE
Kenya will after all not be the first East...
Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Arusha;
Tarehe: 29th September 2009
Habari Leo
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, ametangaza rasmi kuwa amejitoa mhanga kupambana na ufisadi ili nchi isiangamie...
ASEMA WALIOJIPENYEZA MADARAKANI, SASA WANAUMBUKA
Daniel Mjema, Same
RAIS mstaafu, Ali Hassan Mwinyi amelipua kombora jingine kwa viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi, akisema kuwa...
Mimi kama Mtanzania nimeshidwa kuvumilia na mwendendo wa viongozi wa Serikali yangu yangu ya Tanzania kwa kutokuwa makini na kutoelewa nini maana ya uongozi, Maslahi ya mtu binafsi yamewekwa mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.