kwanza kabisa nawapongeza sana wana CCM kwa ukomavu wa kisiasa kwa kuweza safari hii kuchagua mchele na pumba kuwekwa kando. Nimesikia matokeo mbalimbali yanatia moyo, nafikiri safari hii...
Kwa wale wapenzi wa Rev chriss ama christopher mtikila kwa walioangalia ITV Kwa huzuni kubwa jamaa wakiwa na defender wamemnyaka na suti yake town na mikanjanaja yake kwenye mabegi na kuelekea...
This is one of the report that has been circulated for sometime now by Lusinde's camp with incredible help from TISS as I have noted in my previous post. This reporting has unfortunately been...
Linganisha na hawa hapa, chini ndipo utakapojua nani walitayarishwa kwa ajili ya picha na ni nani wlihudhuria tukio kwa kuvutiwa na sera.
Nimeanza kupata matumaini.
Habari wana JF, kichenchele naomba mnijuze juu ya hili jambo kisheria na kama katiba yetu ya Jamhuri ya muungano wa Tz imeligusia basi itakuwa ni kauzembe kangu kutoipitia katiba hii na kufahamu...
"Dk. Slaa si tishio kwa CCM ila ni tishio kwa mtu binafsi…hawezi kuwa tishio kwa chama. Nani alikuwa maarufu kama Mrema. "Santuri mpya ikitoka itachezwa katika nyumba mbalimbali lakini baada...
There is suspicion of something very sinister involving these three news outlets - is it some unholy alliance formed for the sole purpose of misleading the electorate and denying them information...
heshima nyingi kwako Dr Slaa,wewe ni muokozi wetu.Sisi wafanyakazi tunategemea kucheka baada ya hii tarehe 30.10.2010.Tunategemea kupata maisha bora ambayo tuliya ota kwa miaka 5 sasa.Wale ambao...
Yaonya watanzania kuwa makini:
- Nyingi zinatolewa na vyuo visivyotambulika wakiwalenga zaidi watu maarufu wakiwamo marais wa nchi za kiafrika
- Mara nyingi zinatolewa kwa manufaa ya vyuo husika...
Nimefuatilia thread ya matokeo ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM, nikagundua kama alivyodokeza ndugu Kasheshe kuwa uletaji wa matokeo hauko user friendly. Hii ni kwenye uchaguzi ndani ya...
Wabongo Hawana Nyongo, CCM itashinda Tena!
WIKI chache zilizopita zilikuwa ni wiki za watu kuchukua fomu za kugombea Urais wa Tanzania. Baadhi ya watu wamejitokeza kuchukua fomu. Hiyo yote ni...
Aliwasiliana nami kwa sms alfajiri ya leo akiniambia kuwa ameshinda nafasi ya viti maalumu Singida....
Nimejaribu kumtafuta anipe details lakini simu yake unreachable. Kama tuna mdau yeyote...
Nimemsikia m/kiti wa chama chetu mafisadi akiwa usia wajumbe wa nyumba kumi kupiga kampeni kwa nguvu zote ili CHAMA kishinde uchaguzi wa 31 Oct.
Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea...
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni...
Kuna wengi wamesema kwamba kule vijijini watu hawaelewi,wao ni kulewa mapilau,na kutotumia kura zao ipasavyo.kwa nini wenye kutaka maendeleo ya hii nchi,wasitengenze documentaries,au movies to...
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. AMANI ABEID KARUME
SALAMU ZA RAIS WA ZANZIBAR NA
MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI,
MHESHIMIWA DK...
Nimesikia mara kwa mara tena kwa lugha ya dharau ya aina fulani kuwa "Watanzania hawaju" na kuwa "Huko kijijini watu hawaelewi" na wengine wamefikia mahali pa kudai kuwa "wananchi hawana elimu ya...
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425...