Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,576
- 19,457
Linganisha na hawa hapa, chini ndipo utakapojua nani walitayarishwa kwa ajili ya picha na ni nani wlihudhuria tukio kwa kuvutiwa na sera.
Nimeanza kupata matumaini.
Haya si yale ya Mrema...?
hiyo ndio hofu yangu....come october 31.....ccm kidedea
fear is a deadly disease ,dont bring fear in our village
Haya si yale ya Mrema...?
Napenda hii slogan CCM waendelee nayo wakidhani nothing has been changed since then. Remind you it is 15 years now has passed, new voters new strategies, new faces, waliokuwa na miaka mitano kwa wakati huo leo ni wapiga kura halali it is a new generation ambayo haijaathiriwa sana na utawala wa chama kimoja kama ilivyokuwa 1995. Kwahiyo tukitoa tathimini tuwe tunakuja na maelezo ya ku support tunachokisema.Haya si yale ya Mrema...?
Wengi wanaojitokeza kuishangilia na kuisapoti CCM ni wanafiki na wana maslahi binafsi. Hili liko wazi na dhahiri kabisa, utawaona tu jinsi wanavyojipendekeza kwa kikwete, hata wakati mwingine kuimba sifa za kijinga juu ya jamaa huyu.
Wenye nia madhubuti na thabiti juu ya hatima ya Taifa hili ni wapinzani pekee, ni wale waoga na waliodhaifu kimsimamo na kifikra tu ndio wanaendelea kuisapoti CCM wakati huu.