KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
heshima nyingi kwako Dr Slaa,wewe ni muokozi wetu.Sisi wafanyakazi tunategemea kucheka baada ya hii tarehe 30.10.2010.Tunategemea kupata maisha bora ambayo tuliya ota kwa miaka 5 sasa.Wale ambao wako ughaibuni wakibeba boksi nao wana matumaini ya kurudi na kucheka nasi,tujenge taifa letu pamoja.Siyo aibu kila siku ukienda benki,yule cahsier anakuangalia mara mbili baada ya wewe kuomba balance kwa nguvu zako zote,mwisho kwenye account kuna hela za kununua karanga tu.Tumesha ishi maisha ya jadi,sasa tunataka tuishi maisha ya ki binadamu.Mfano madaktari wanaishi maisha magumu sana,kazi yao ni ya hatari,laikin mshahara ni zero compared to the work done.Ndio maana wengi wanakimbia kule Botswana.Kuna jamaa kamaliza masters ya medicine,kufanya kazi bongo for 1 year ameona maisha ni ya taabani kweli,ana amua aache kazi hapo serikalini,na arudi zake hapo kwa wabeba boksi,kasema hiiyo inalipa zaidi,kuliko kuhatarisha maisha na hiyo field.Ewe Dr Slaa,sisi tupo nyuma yako,na wewe ndio utakuwa muokozi wetu.Wafanyakazi oyeeeeee...tuvumilie tu miezi mitatu,atlast mvumilivu hula mbivu,na sisi tuta kula hiyo mbivu.God Bless you Dr Slaa,You are the Light,the road to our pursuit of hapiness.Ameen.