Big thinkers naomba kuuliza swali! wakati mechi ya brazil na sisi ikiwa ndo imewiva kuna jamaa alikatiza uwanjani katikati na police wakawa wamemng'ang'ania! najiuliza hv! je wakati jamaa anazama...
Ndugu wanancchi nimeona tukumbushane wa wale waliokuwa awajazaliwa..Dar es salaam tulikuwa na tatizo kubwa la Usafir wa wanafunzi...mwisho wa siku wafadhali wakajitokeza sana kuleta...
CCM Imejipanga Vizuri kwa Ushindi
Hivi karibuni Chama chetu (CCM) kilikamilisha kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao, hali ambayo inatuhakikishia kuendelea kufanya vizuri katika uchaguzi...
Reduction of Bunge time shocks experts
Prime Minister Mizengo Pinda (right) chats with Justice and Constitutional Affairs minister Mathias Chikawe in Parliament in Dodoma yesterday.
By...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad...
Watanzania wenzangu,
Siku zote nimekuwa nikiwahurumia sana kwa ajili ya matatizo yanayowakabili,ila hili la ujio wa timu ya Brazil nimelifurahia sababu ni moja ya michezo ambayo mnaipenda
Kwa...
Jana katika vyombo mbali mbali vya habari niliona habari juu ya baadhi ya wanachama wa CCJ waliokuwa wana hakikiwa na msajili wa vyama kuwa walighushi, na uanachama wao ni batili.
Cha ajabu...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amewatibua makatibu wa wilaya wa chama hicho waliogeuka `wabeba mikoba' ya wanasiasa wanaotangaza nia ya kugombea ubunge katika Uchaguzi...
Hizi ni data chache tu za mtazamo wa mkuu wa nchi anavopenda michezo.
Kama mkuu kabisa wan chi alisema lazima awalete Real Madrid 2010 wacheze uwanja wa Neshno, sijajua watacheza na...
Ukisikiliza kauli mbiu za Kilimo Kwanza, unasikia wakulima wakubwa wa mashirika na kutoka nje ya nchi wakipewa kipaumbele. Wale wadogo waliolibeba Taifa kwa maiak yote 49 ya Uhuru, wanaambiwa...
Mwalimu Nyerere and the challenge of human rights
Helen Kijo-Bisimba and Chris Maina Peter
[Extracts from a prospective Chapter in a forthcoming book on Nyereres Legacy, Edited by Chambi Chachage...
Wakati zoezi la uchukuaji fomu za urais Zanzibar utaanza Juni 21, mwaka huu, joto la mtu atakayemrithi Rais Amani Abeid Karume, limezidi kupanda.
Kampeni za chinichini zinafanyika kwa kasi...
:mad2:Waheshimiwa nawaletea hapa chini hotuba ya Mhe. John Mrema aliyoisoma katika kikao cha Mkutano Mkuu wa CHADEMA jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro:mad2:
HOTUBA YA KUFUNGUA MKUTANO MKUU WA...
Serikali ya umoja wa kitaifa itaumbua wengi
Wahafidhina wa siasa za chuki waanza kuhaha
HATIMAYE kaburi la historia ya siasa za chuki na uhasama wa kulipiza kisasi Zanzibar, limeanza...
Tanzania is not, won`t ever become a nation of animals
Editor
6th June 10
A few weeks ago, President Jakaya Kikwete cautioned East African Community (EAC) members against...
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema itahakikisha kuwa kura ya maoni na uchaguzi mkuu,zinafanyika hata bila ya fedha za wahisani.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Nchi katika...
Wanawake watatu waliojitambulisha kuwa ni Helen Mgaya (22), Robi Wambura (20) na Sophia Marwa (43) wote wakazi wa Kijiji cha Kebweye wilayani Tarime, Mkoa wa Mara, waliwaambia waandishi wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.