Elections 2010 Marando ashambulia Wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa

SuperNgekewa

Member
May 10, 2010
49
3
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni kutafuta umaarufu ndani ya jamii na kulalama kwamba walizua mtafaruku ndani ya CCM na kuhatarisha umoja wa CCM. Wabunge aliowashambulia ni pamoja na Fred Mpendazoe wa Kishapu, Dr Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), James Lembeli (Kahama) na Spika wa Bunge, Samuel Sitta (Urambo Mashariki), wabunge ambao ni kati ya wabunge walioonyesha uzalendo na ujasiri mkubwa kwa kuyatetea maslahi ya taifa dhidi ya wahujumu nchi hadi wengine wakakoswakoswa kuuwawa.

Fisi hawezi kubadili madoa yake. Japo ayafiche kwa ngozi ya kondoo yataonekana kwenye miguu au mkia au masikio. Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.
 
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni kutafuta umaarufu ndani ya jamii na kulalama kwamba walizua mtafaruku ndani ya CCM na kuhatarisha umoja wa CCM. Wabunge aliowashambulia ni pamoja na Fred Mpendazoe wa Kishapu, Dr Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), James Lembeli (Kahama) na Spika wa Bunge, Samuel Sitta (Urambo Mashariki), wabunge ambao ni kati ya wabunge walioonyesha uzalendo na ujasiri mkubwa kwa kuyatetea maslahi ya taifa dhidi ya wahujumu nchi hadi wengine wakakoswakoswa kuuwawa.

Fisi hawezi kubadili madoa yake. Japo ayafiche kwa ngozi ya kondoo yataonekana kwenye miguu au mkia au masikio. Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.

Kwa hiyo ameshaanza ana uharibifu???, kuwe na taratibu za chama kuriport kwenye media
 
HUYO NI MTU WA USALAMA NA SHERIA HAIRUHURU MTU ALIYE KWENYE KAZI KAMA HIZO (POLICE, WANAJESHI NK) KUWA MEMBER WA POLITICAL PARTY SASA HUYU JAMAA ANAENDA CHADEMA KUFANYA NINI?, AU NDIO KWENDA KUKIUA KAMA NCCr -mAGEUZI?
 
HUYO NI MTU WA USALAMA NA SHERIA HAIRUHURU MTU ALIYE KWENYE KAZI KAMA HIZO (POLICE, WANAJESHI NK) KUWA MEMBER WA POLITICAL PARTY SASA HUYU JAMAA ANAENDA CHADEMA KUFANYA NINI?, AU NDIO KWENDA KUKIUA KAMA NCCr -mAGEUZI?

Afisa usalama wa wilaya ya Geita ametajwa kuchukuwa fomu za kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM. Ina maana ni mwanachama wa CCM. Sijui ni utawala gani huu lakini nasubiri nione atakapokuwa ameshinda kuwa mgombea, upinzani utachukuwa hatua gani. Pia akishindwa nitataka kuona kama ataendelea na kazi yake.
 
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni kutafuta umaarufu ndani ya jamii na kulalama kwamba walizua mtafaruku ndani ya CCM na kuhatarisha umoja wa CCM. Wabunge aliowashambulia ni pamoja na Fred Mpendazoe wa Kishapu, Dr Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), James Lembeli (Kahama) na Spika wa Bunge, Samuel Sitta (Urambo Mashariki), wabunge ambao ni kati ya wabunge walioonyesha uzalendo na ujasiri mkubwa kwa kuyatetea maslahi ya taifa dhidi ya wahujumu nchi hadi wengine wakakoswakoswa kuuwawa.

Fisi hawezi kubadili madoa yake. Japo ayafiche kwa ngozi ya kondoo yataonekana kwenye miguu au mkia au masikio. Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.

Heading ya topic yako haiko sahihi. Ingepasa kuwa: Marando ashambulia Wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa." Mods badilisha hii -- bila shaka imepotoshwa nadhani kimakusudi tu!
 
kama kweli marando kasema maneno haya basi kashaanza kuchanganya habari kama hajasema maneno haya wewe ni au source ya habari hii ni wanafiki na manataka kuwavuruga watanzania.
 
Huyu Superngekewa na magazeti ya Rostum hawana tofauti. Katika makala ya Mtanzania Daima anayodai iliyoripoti Marando kujiunga na CHADEMA hakuna taaarifa kuwa aliwashambulia wabunge "wapiganaji" wa CCM.
 
Every little thing should taken with care. Naamini ni muhimu hata kama hizi taarifa ni za uwongo, basi huo uongo nao usiachwe bila kufuatiliwa...
 
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni kutafuta umaarufu ndani ya jamii na kulalama kwamba walizua mtafaruku ndani ya CCM na kuhatarisha umoja wa CCM. Wabunge aliowashambulia ni pamoja na Fred Mpendazoe wa Kishapu, Dr Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), James Lembeli (Kahama) na Spika wa Bunge, Samuel Sitta (Urambo Mashariki), wabunge ambao ni kati ya wabunge walioonyesha uzalendo na ujasiri mkubwa kwa kuyatetea maslahi ya taifa dhidi ya wahujumu nchi hadi wengine wakakoswakoswa kuuwawa.

Fisi hawezi kubadili madoa yake. Japo ayafiche kwa ngozi ya kondoo yataonekana kwenye miguu au mkia au masikio. Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.

Wewe ni bingwa wa disinformation. Hivi mwalimu wako ni mzeeb Kingunge nini?
 
Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.
Nafikiri wewe ni mmojawapo kwa kutuletea cooked informations kama magazeti yenu ya Mtanzania, Mwananchi, RAI, Majira na Clouds. The good thing is you are all known by names.

Labda nitoe tamko langu lisilo rasmi kwa watu wa type ya SuperNgekewa, Kibonde na Magazeti ya Rostam kuendelea kuwapotosha wananchi eti Marando atavuruga Chadema na eti bora Dr. Slaa angegombea ubunge kuliko urais.

Hiyo huruma na huo upendo wa kumshauri Dr. Slaa aliyemtaja bosi wenu kuwa ni fisadi mkuu imeanza lini? na lini Chadema imekuwa nzuri kwenu?

Hatutaki huruma ya fisi na huruma ya kinafiki, tunamtaka huyo huyo Marando hata kama ni usalama wa taifa kinachowauma ni kitu gani. Sisi na Marando nyie na fisadi wenu Rostam full stop.
 
Afisa usalama wa wilaya ya Geita ametajwa kuchukuwa fomu za kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM. Ina maana ni mwanachama wa CCM. Sijui ni utawala gani huu lakini nasubiri nione atakapokuwa ameshinda kuwa mgombea, upinzani utachukuwa hatua gani. Pia akishindwa nitataka kuona kama ataendelea na kazi yake.

Mkuu ulikuwa hujui? mbona karibia, kwa udhahiri au zaidi theluthi moja ya wabunge wa CCM ni Usalama wa Taifa? sijui kama kuna sheria ya kuwazuia hawa ndugu. Labda ni njia mojawapo ya kuwapenyeza kila mahali kuhakikisha usalama.

Ukiendelea kuchunguza si ajabu ukakuta hata mapadri, wachungaji, maaskofu na mashehe kibao nao wamo humo.
 
Nafikiri wewe ni mmojawapo kwa kutuletea cooked informations kama magazeti yenu ya Mtanzania, Mwananchi, na Majira. The good thing is you are all known by names.
mbona umesahau gazeti la RAI na Clouds FM?
 
Afisa usalama wa wilaya ya Geita ametajwa kuchukuwa fomu za kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM. Ina maana ni mwanachama wa CCM. Sijui ni utawala gani huu lakini nasubiri nione atakapokuwa ameshinda kuwa mgombea, upinzani utachukuwa hatua gani. Pia akishindwa nitataka kuona kama ataendelea na kazi yake.

Cha ajabu nini? Membe, Mudhihir Mudhihir, Augustino Mrema (wakati ule) wote ni wanausalama! KOSA NI KUWA MWANACHAMA WA UPINZANI NA HUKU NI MWANAUSALAMA!
 
Katika stori ya "Marando ahamia Chadema" iliyoko Tanzania Daima ya 23 Jul 2010, Marando amewashambulia wabunge wa CCM wanaomuunga mkono Dr Slaa akiwaita "wadandia hoja" na kwamba lengo lao ni kutafuta umaarufu ndani ya jamii na kulalama kwamba walizua mtafaruku ndani ya CCM na kuhatarisha umoja wa CCM. Wabunge aliowashambulia ni pamoja na Fred Mpendazoe wa Kishapu, Dr Harrison Mwakyembe (Kyela), Lucas Selelii (Nzega), James Lembeli (Kahama) na Spika wa Bunge, Samuel Sitta (Urambo Mashariki), wabunge ambao ni kati ya wabunge walioonyesha uzalendo na ujasiri mkubwa kwa kuyatetea maslahi ya taifa dhidi ya wahujumu nchi hadi wengine wakakoswakoswa kuuwawa.

Fisi hawezi kubadili madoa yake. Japo ayafiche kwa ngozi ya kondoo yataonekana kwenye miguu au mkia au masikio. Kama bado kuna kipofu ambaye haoni malengo ya Marando kuhamia CHADEMA, huyo ni basi tena.


HIVYO ANAVYOSEMA SI KWELI? Kama kweli hao mashujaa wako wana lengo na kupambana na maovu ikiwa pamoja na ufisadi basi wangeamuwa kummuunga mkono Slaa kwa kuungana nae ndani ya CHADEMA! Mbona sera za vyama hivi ni tofauti na unategemea watamuunga mkono mtu alie nje ya Chama chao cha mafisadi? Mbona wanaridhika na yakioko CCM? Wacha kutuchanganya!
 
Cha ajabu nini? Membe, Mudhihir Mudhihir, Augustino Mrema (wakati ule) wote ni wanausalama! KOSA NI KUWA MWANACHAMA WA UPINZANI NA HUKU NI MWANAUSALAMA!

Kama huoni tatizo, wewe mwenyewe una tatizo.
Hao uliowataja wako kundi tofauti na Afisa usalama wa Wilaya au afisa usalama wa mkoa. Huyo wa Wilaya niliyemtaja ni nafasi inayotambulika kitaifa na ana ofisi yake Wilayani na ni mjumbe wa kamati ya Usalama ya Wilaya. Siyo ajira ya kificho kama hao uliowataja. Ni ofisi ya wazi kwa kazi za wazi kitaifa.

Labda mfano mzuri ungewataja hao maofisa wa jeshi na pia tungewaweka ktk kundi hilo, tukitaka kufahamu ni kwa nini wanaachwa kufanya hivyo.
 
HUYO NI MTU WA USALAMA NA SHERIA HAIRUHURU MTU ALIYE KWENYE KAZI KAMA HIZO (POLICE, WANAJESHI NK) KUWA MEMBER WA POLITICAL PARTY SASA HUYU JAMAA ANAENDA CHADEMA KUFANYA NINI?, AU NDIO KWENDA KUKIUA KAMA NCCr -mAGEUZI?
Mhhhhhh, kwani usalama wa Taifa hawastaafu kazi ? hebu mnijuze.
Mbona Moma mkuu wa Majeshi aligombea ubunge kwa tiketi ya CCM, TIBAIGANA YUKO BUKOBA, wakati mahita nasikia Yuko Jimboni Morogoro.
 
Katika makala ya Mtanzania Daima anayodai iliyoripoti Marando kujiunga na CHADEMA hakuna taaarifa kuwa aliwashambulia wabunge "wapiganaji" wa CCM.

Mwanzisha mada kasema gazeti la "Tanzania Daima". Hakuna gazeti la "Mtanzania Daima". Wewe Jasusi gani hata majina ya magazeti yanakuchanganya?
 
Back
Top Bottom