kwanza kabisa nawapongeza sana wana CCM kwa ukomavu wa kisiasa kwa kuweza safari hii kuchagua mchele na pumba kuwekwa kando. Nimesikia matokeo mbalimbali yanatia moyo, nafikiri safari hii Wapinzani wakijipanga mchuano waweza kuwa waukweli. sasa Naomba mnijulishe matokeo ya Mh. Ghasia kama upepo umeelekea wapi.