Elections 2010 Re: Jamani Hawa Ghasia huko jimboni kachomoka au ndio kaelekezwa kibla?

Anold

JF-Expert Member
Jul 15, 2010
1,456
614
kwanza kabisa nawapongeza sana wana CCM kwa ukomavu wa kisiasa kwa kuweza safari hii kuchagua mchele na pumba kuwekwa kando. Nimesikia matokeo mbalimbali yanatia moyo, nafikiri safari hii Wapinzani wakijipanga mchuano waweza kuwa waukweli. sasa Naomba mnijulishe matokeo ya Mh. Ghasia kama upepo umeelekea wapi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom