Rostam bado ana 'NGUVU ZA AJABU' 2010

Rostam bado ana 'NGUVU ZA AJABU' 2010

Tina

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2007
Posts
572
Reaction score
584
Pamoja na baadhi ya watu kuanza kuamini kwamba Rostam Aziz amepungua nguvu na kwamba sasa hana uwezo wa kupanga safu katika uchaguzi wa mwaka huu kama alivyofanya huko nyuma, UKWELI ni kwamba ana nguvu kubwa na viongozi wetu wa bara na visiwani, Rais Jakaya Kikwete na Rais Amani Abeid Karume, wanamtumia katika kufanikisha malengo yao na kwa maana hiyo kuendelea KULINDA MASLAHI YAO YA PEMBE TATU Z UFISADI (Naazima maneno ya Lula wa Raia Mwema).

Mutakumbuka suala la Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania Urais wa Zanzibar liliandikwa na gazeti la Mwananchi, na siku moja baadaaye zikachapishwa na gazeti la Rai katika toleo lake la wiki iliyopita kwa uzito mkubwa habari ambayo imerudiwa tena Rai la wiki hii lililoamua kutetea uamuzi wa Dk. Shein kwa nguvu zote na kuwabeza wanaompinga na kuwa ni "wabaya wake".

Tunakumbuka kwamba Rostam amekuwa akitamba (yaweza kuwa kweli) kwamba ndiye aliyemuweka Karume madarakani mwaka 2000 kwa kumdhibiti DK. Bilal asifurukute. Baadaye nguvu za Rostam na wenzake (kina Lowassa) ndiyo iliyoandaa mazingira ya Kikwete kuingia madarakani mwaka 2005.

Kwa kifupi sasa Karume (Sina hakika kama JK anamuunga mkono kwa hili) ndiye anamtumia Rostam kumuingiza Dk. Shein Zanzibar ili yeye aje kuwa Makamu Bara lakini hata akikwama atakua na kinga maana Dk. Shein kihistoria si mtu wa maamuzi magumu ya kisiasa. Ni Mtendaji mzuri tu ambaye hakika atakua akifanya kazi kwa maelekezo ya hao waliomuweka. Si jambo zuri sana kulisema, lakini linahusu MUSTAKABALI NA USALAMA WA TAIFA LETU.

Hatari ya jambo hili ni kwamba hadi sasa msimamo wa JK haujaonekana wazi katika hili na kama Dk. Shein atakua ameingia katika mikono ya kina Rostam itakuwa ni UKURASA MWINGINE KWA SIASA ZA TANZANIA KUELEKEA 2015 na tujue fika kwamba huko tuendako LOWASSA ndiye Rais AJAYE 2015 huku ROSTAM na Kundi lake wakiendelea KUCHEZA NA UCHUMI WETU hadi hapo UKOMBOZI WA KWELI UTAKAPOWADIA.

TANZANIA UHURU WA KWELI BADO SAAANA
 
Pamoja na baadhi ya watu kuanza kuamini kwamba Rostam Aziz amepungua nguvu na kwamba sasa hana uwezo wa kupanga safu katika uchaguzi wa mwaka huu kama alivyofanya huko nyuma, UKWELI ni kwamba ana nguvu kubwa na viongozi wetu wa bara na visiwani, Rais Jakaya Kikwete na Rais Amani Abeid Karume, wanamtumia katika kufanikisha malengo yao na kwa maana hiyo kuendelea KULINDA MASLAHI YAO YA PEMBE TATU Z UFISADI (Naazima maneno ya Lula wa Raia Mwema).

Mutakumbuka suala la Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania Urais wa Zanzibar liliandikwa na gazeti la Mwananchi, na siku moja baadaaye zikachapishwa na gazeti la Rai katika toleo lake la wiki iliyopita kwa uzito mkubwa habari ambayo imerudiwa tena Rai la wiki hii lililoamua kutetea uamuzi wa Dk. Shein kwa nguvu zote na kuwabeza wanaompinga na kuwa ni "wabaya wake".


TANZANIA UHURU WA KWELI BADO SAAANA

... that is also along with MEGHJI being seen as a potential VP material. Jana nimetumia neno CONSORT in addition with RA being referred to as the KING MAKER. Yetu macho!!!
Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa uswahili!
 
Kuna alishawahi ku-declare "Asilia ya Nguvu zake" kama Samson?

Kama bado - trust US - he is even becoming infallible!
 
Pamoja na baadhi ya watu kuanza kuamini kwamba Rostam Aziz amepungua nguvu na kwamba sasa hana uwezo wa kupanga safu katika uchaguzi wa mwaka huu kama alivyofanya huko nyuma, UKWELI ni kwamba ana nguvu kubwa na viongozi wetu wa bara na visiwani, Rais Jakaya Kikwete na Rais Amani Abeid Karume, wanamtumia katika kufanikisha malengo yao na kwa maana hiyo kuendelea KULINDA MASLAHI YAO YA PEMBE TATU Z UFISADI (Naazima maneno ya Lula wa Raia Mwema).

Mutakumbuka suala la Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania Urais wa Zanzibar liliandikwa na gazeti la Mwananchi, na siku moja baadaaye zikachapishwa na gazeti la Rai katika toleo lake la wiki iliyopita kwa uzito mkubwa habari ambayo imerudiwa tena Rai la wiki hii lililoamua kutetea uamuzi wa Dk. Shein kwa nguvu zote na kuwabeza wanaompinga na kuwa ni "wabaya wake".

Tunakumbuka kwamba Rostam amekuwa akitamba (yaweza kuwa kweli) kwamba ndiye aliyemuweka Karume madarakani mwaka 2000 kwa kumdhibiti DK. Bilal asifurukute. Baadaye nguvu za Rostam na wenzake (kina Lowassa) ndiyo iliyoandaa mazingira ya Kikwete kuingia madarakani mwaka 2005.

Kwa kifupi sasa Karume (Sina hakika kama JK anamuunga mkono kwa hili) ndiye anamtumia Rostam kumuingiza Dk. Shein Zanzibar ili yeye aje kuwa Makamu Bara lakini hata akikwama atakua na kinga maana Dk. Shein kihistoria si mtu wa maamuzi magumu ya kisiasa. Ni Mtendaji mzuri tu ambaye hakika atakua akifanya kazi kwa maelekezo ya hao waliomuweka. Si jambo zuri sana kulisema, lakini linahusu MUSTAKABALI NA USALAMA WA TAIFA LETU.

Hatari ya jambo hili ni kwamba hadi sasa msimamo wa JK haujaonekana wazi katika hili na kama Dk. Shein atakua ameingia katika mikono ya kina Rostam itakuwa ni UKURASA MWINGINE KWA SIASA ZA TANZANIA KUELEKEA 2015 na tujue fika kwamba huko tuendako LOWASSA ndiye Rais AJAYE 2015 huku ROSTAM na Kundi lake wakiendelea KUCHEZA NA UCHUMI WETU hadi hapo UKOMBOZI WA KWELI UTAKAPOWADIA.

TANZANIA UHURU WA KWELI BADO SAAANA

Hii habari ilipotoka Mwananchi sikutegemea itatoka tena Rai kwa angel ile ile, na baada ya kutoka Raia Mwema la jana Kiwewe mwenza wa Kikwete 2010 sikutegemea tena Rai ya leo ingeandika tena, na hapo ndipo ninapoona kwamba Tina anatufumbu macho
 
I wish Raisi wetu angekuwa na mikakati chanya ya muda mrefu kwa nchi yetu kama ambavyo Lowassa, Rostam na team yao wanavyokuwa na plan za ushindi na wanafanikiwa. Juzi nilikuwa mahali fulani pembeni yangu walikuwepo watu flani tena wa wizara ya mambo ya ndani wakawa wanajadiliana jinsi Lowassa alivyo na mali nyingi. mmoja wao akasema watanzania tupende tusipende jamaa ndio raisi wetu 2015. Nilijiuliza sana kwanini kuna watu wanamwona jamaa ni tishio namna hiyo lakini baada ya kufukiria kwa muda ndio nikagundua kuwa ushindani wa raisi Tanzania upo ndani ya CCM na jamaa wana strong team kwenye chama na sasa hivi wanafanya juu chini kuwaondoa wapambanaji wa ufisadi wote ili come 2015 wawe na uhakika. I wish tungekuwa na plan za namna hii ambazo ni positive kwa maendeleo ya nchi yetu.
 
Give me my Sub-Machine-Gun!...If no human being in Tanzania can do the conviction of these bloody-fools, then my SMG can..!!!!...give it to me!
 
Rostam 1995...2005...2015...2020 mmh kwani anampikia MUNGU CHAI? Walikuwepo watu wajanja , matajiri na wenye dili kubwa sana hapa duniani lakini mpaka leo hatuwasikii wala historia zao hazukumbukwi....wakati ukuta

Mix with yours
 
I ‘m crying for my mother land Tanganyika; Tuedako si kuzuri!!Mungu tuepushe baraha hili!!! Nani atatukomboa?
 
Tina,
You are a breath of fresh air. Good to see you again in JF
 
Nchi hii imefikia mahali sasa ama Jeshi la Wananchi liiokoe kama ilivyokuwa Niger, ama wananchi waamue kuingia mitaani bila woga wala kuchoka mpaka mapinduzi ya kweli yamepatikana. Hakuna njia nyingine, believe me hakuna njia nyingine, hata sanduku la kura haliwezi kuleta kile kinachohitajika Tanzania. Nchi imeoza saaaaana, kama akina RA ambao hata uraia wao unatiliwa mashaka ndio wanaoongoza siasa za nchi tena kwa njia ya umafya, NARUDIA TENA HAKUNA NJIA NYINGINE WALA TUSIDANGANYANE HAPA JF. Angalia jinsi CCJ inavyofanyiwa mizengwe, sasa hata mahakama zetu zimeingiliwa. Tulitegemea kuwa hoja ya mgombea binafsi italeta mapinduzi kwa kuongeza wapinzani Bungeni sasa imepigwa chini, tulitegemea kuwa CCJ inaweza kugawa CCM tukawa na fikra mpya katika uongozi wa nchi, sasa itakuwaje? ukweli ni kuwa CHADEMA na CUF vimeshawekewa mikakati ya kuua mtu, havitafurukuta, na kama huamini ngoja uone Moshi Mjini itakavyfanyiwa wizi wa kura na wamepania kumwondoa Ndesamburo na believe me watafanikiwa. CCM sio political party ni State Party kwa hiyo chochote wanachotaka watapata tu.

MAPINDUZI YANAHITAJIKA SASA NA SI BAADAYE, NASEMA KWA UJASIRI KABISA KUWA DAMU ISIPOMWAGIKA TANZANIA HAKUNA UKOMBOZI WA KWELI. HUU NDIO UKWELI, WANAHITAJIKA SASA WATU WATAKAO ANDAA WANANCHI KWA MAPINDUZI YA KWELI HATA KAMA HIYO ITAMAANISHA KWENDA MSITUNI NA KUANZISHA MAPIGANO. TUSIOGOPE TWENDE MITAANI, HII IMETOSHA, MANENO MATUPU BASI SASA. AHSANTENI SANA AKINA DR SLAA NA WAPAMBANAJI WENGINE, JUHUDI TUMEZIONA LAKINI UKWELI NI KUWA ZIMEGONGA MWAMBA KUTOKANA NA SYSTEM ILIVYOJIPANGA. MIMI NIPO TAYARI KUSHIKA MTUTU WA BUNDUKI, WEWE JE?
 
Back
Top Bottom