bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,848
Jamani mimi mwenzenu napata shida kuhusu majukumu ya Wabunge tunaowachagua kwenye majimbo yetu.
Asilimia kubwa ya wananchi wanasema Mbunge wetu hakutufanyia hivi, mfano hakutujengea shule, barabara, hospitali, hakuleta maji na kadhalika.
Naomba kueleweshwa jee upeo wa majukumu ya Wabunge ni upi? Yaani Mbunge afanye nini ili wananchi waridhike, na kwa kiwango gani? Na jee ikiwa lawama zote anatupiwa Mbunge, wale viongozi wengine kama Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya na Mikoa na Madiwani majukumu yao ni yepi?
Jee Wabunge huwa wanapewa Terms of Reference (Hadidu Rejea) pale wanapoapishwa?
Nitashukuru kama mutaweza kufafanua hili ili niweze kufanya assessment yangu.
Asilimia kubwa ya wananchi wanasema Mbunge wetu hakutufanyia hivi, mfano hakutujengea shule, barabara, hospitali, hakuleta maji na kadhalika.
Naomba kueleweshwa jee upeo wa majukumu ya Wabunge ni upi? Yaani Mbunge afanye nini ili wananchi waridhike, na kwa kiwango gani? Na jee ikiwa lawama zote anatupiwa Mbunge, wale viongozi wengine kama Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya na Mikoa na Madiwani majukumu yao ni yepi?
Jee Wabunge huwa wanapewa Terms of Reference (Hadidu Rejea) pale wanapoapishwa?
Nitashukuru kama mutaweza kufafanua hili ili niweze kufanya assessment yangu.