Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

GREEN DARD WA CCM IRINGA MJINI WANATUMIWA NA WAGOMBEA KUIVURUGA CCM Katibu mtendaji wa Club ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Bw Frank Leonard jana amezingirwa na vijana wasiojua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Silaha haramu zaidi ya 5000 zimechomwa moto kwenye uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Morogoro. Lakini kuna mambo mengine yanashangaza kama yamefanywa na watu wenye akili kichwani au la. Angala...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau je katika chama cha ccm kinafuata mrengo upi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu watanzania wenzangu, tumeona vielelezo kadha wa kadha kwamba wana CCM wameoza kwa rushwa na ufisadi! Hata wale ambao hatukuwategemea kabisa tunaona wanakutikana na matukio ya ajabu! Hebu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, nawaletea maelezo ya Mtanzania ambaye aliniambia akipata nafasi ya kumuona rais atamueleza yaliyo moyoni mwake...haya ni baadhi ya maelezo...endeleeni "Mimi ni Mtanzania wa kawaida sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
If you already have a facebook profile, Here is Dr Slaa's page. Dr. Willibrord Slaa | Facebook Spread the word.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na. M. M. Mwanakijiji Tumepiga kelele kwa miaka minne na kelele zetu zimebatizwa kuwa ni "chuki binafsi". Tumewapigia mbiu waamke lakini panda zetu zimekuwa ni "kelele za mlango" ambazo hazimzuii...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro aliemkamata DC ahamishwa, ashushwa cheo. Taarifa za uhakika zinasema kuwa kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Kilimanjaro ambaye maafisa wake walimkamata Mkuu wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwanza napenda kusema kuwa nimefurahishwa sana na DK Slaa kugombea Urais, yaani siwezi kuelezea furaha yangu. Kwanza nimewaambia ndugu zangu wote kama kumi na zaidi KURA kwa Dr Slaa. Ila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi hii timu ya uchunguzi hiko makini kweli? Repoti hii ya uchunguzi siamini kama imeandaliwa na jeshi letu la polisi na kama ni kweli basi tuna safari ndefu katika idara hii. JESHI LA POLISI...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tunamuomba Rais wa Tanzania aliyeko madarakani ampatie Mh Dr W.Slaa ulinzi wa uhakika kutokana na nafasi anayogombea na ukizingatia yuko kwenye hali ya hatari kuliko wakati mwingine wowote. Hili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi mwananchi anapopokea tshirt na khanga anatarajia kiongozi aje amfanyie lipi zaidi atakapochaguliwa? Ni nini kitambana kutumikia wananchi ilhali alichaguliwa kwa bei? Hivi mwananchi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WE THIO LAFKI YANGU TEENA! NILIRUDI nyumbani jioni baada ya mizunguuko yangu ya kimaisha. Kwa kawaida mwanangu mdogo, Lubna, (jina la kitoto tunapenda kumwita Lu), hunikimbilia kwa shangwe kuja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hii kamata kamata inayoendeshwa na Takukuru hivi sasa za wagombea wa CCM watoa rushwa zina udhati wowote katika kukabiliana na ufisadi uliokithiri ndani ya chama hicho au ni changa tu la macho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu mlioko Same tupeni updates basi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba, ungependa kuona mabadiliko gani ya kweli kutoka kwenye serikali mpya itakayoundwa? Mimi binafsi ningependa kuona mabadiliko mengi lakini nitaanza na hili la...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wachache wetu tuliokuwapo wakati wa harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika, tunakumbuka jitihada za serikali ya kikoloni kujaribu bila mafanikio kuvinyamazisha vyombo vya habari visitangaze...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
mpaka sasa idadi ya kadi nyekundu kwa timu mbili za ccm ni: mafisadi 0-2 wapambanaji waliopewa kadi nyekundu ni: james lembeli: (aliingizwa chaka na kocha wake kwani kocha alimwita nje ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni dhahiri kwamba kila Mtanzania mzalendo na mwenye uchungu na nchi yetu anatamani kuona mambo yakibadilika huko nyumbani.Nchi yetu ina takriban miaka 50 tangu ipate uhuru mwaka 1961.Ukiondoa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu jana na leo kunashughuli nyingi za ukarabati wa barabara zilizogeuka mahandaki hapa mjini Arusha.Maeneo ya Sanawari,barabara inayotenganisha Sheck Amri Abeid na CCM mkoa nyingine nyingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom