Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Silaha haramu zaidi ya 5000 zimechomwa moto kwenye uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Morogoro. Lakini kuna mambo mengine yanashangaza kama yamefanywa na watu wenye akili kichwani au la. Angala video na ujiulize maswali ambayo nimejiuliza mimi. Angalia halafu sikiliza.....
Last edited by a moderator: