Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Wachache wetu tuliokuwapo wakati wa harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika, tunakumbuka jitihada za serikali ya kikoloni kujaribu bila mafanikio kuvinyamazisha vyombo vya habari visitangaze habari za Mwalimu. Lakini kila walivojitahidi kuzuia habari zake zisisikike ndivyo umaarufu wake ulivyopanda na watu wengi walivyokuwa na hamu na shauku ya kumwona na kumsikiliza. Historia inajirudia tena leo tunaishuhudia serikali ya Kikwete ikitumia mbinu zile zile za kifashisti kumhujumu mkombozi wetu Dr. Slaa asisikike kwa wananchi. Naomba niionye serikali kuwa hii mbinu haitafanikiwa na kuendelea kufanya hivyo ni sawa na kumwaga petroli kwenye moto ambao tayari umewashwa.
Hebu angalieni habari zilizopo kwenye ukurasa wa mbele wa Daily News, gazeti la Umma wa Watanzania.
Ni aibu lakini hawataizuia Tsunami.
Hebu angalieni habari zilizopo kwenye ukurasa wa mbele wa Daily News, gazeti la Umma wa Watanzania.
- Local traders in dollars face prosecution
- Prof Mwaikusa's murder suspects appear in court
- Ngorongoro Heroes enter camp in top gear
- Tanzania athletes brace for Africa's medal rush on Wednesday
- Bunge seats attract few in Pemba
- Dar es Salaam man faces rape charges
- AU urges Somali neighbour to help destroy Islamists
- Machinga Complex not ideal
- Mwanza man to hang for slaying albino
- New farming project keen to boost output
- Dar es Salaam man faces rape charges
- New farming project keen to boost output
- Bunge seats attract few in Pemba
- Machinga Complex not ideal
- Mwinyi to receive Kili climbers
- Mwanza man to hang for slaying albino
- US organisation supports 11 villages in Mkuranga
- AU urges Somali neighbour to help destroy Islamists
- Prof Mwaikusa's murder suspects appear in court
- Pemba urged to cherish peace
- Kikwete elected malaria alliance chairman
- DC hooked in poll bribery scam
- Suspected Mwaikusa's killers in court today
- TSN on investment drive
- 14 parties sign electoral code of conduct
- Fake money converter in hot soup
- Plan to promote leather industry underway
- Dynamite fishing continues unabated in Tumbatu
- Pinda praises Chief Justice Ramadhan
Ni aibu lakini hawataizuia Tsunami.