Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,919
- 31,161
Wakuu jana na leo kunashughuli nyingi za ukarabati wa barabara zilizogeuka mahandaki hapa mjini Arusha.Maeneo ya Sanawari,barabara inayotenganisha Sheck Amri Abeid na CCM mkoa nyingine nyingi zimefanyikwa ukarabati jambo linaloashiria kwamba zitatumika kuombea kura wakati wa uchaguzi ndani ya CCM na baadae wakati wa uchaguzi mkuu 2010 October.
Napendekeza tuwe na uchaguzi kila mwaka pengine wananchi wanaweza kuondolewa kero zao kama mtindo wenyewe ni huu.
Napendekeza tuwe na uchaguzi kila mwaka pengine wananchi wanaweza kuondolewa kero zao kama mtindo wenyewe ni huu.