Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dream team Mark Schultz, Staff Writer It is a project so big that four firms have joined to make it happen. On Tuesday, the Smithsonian announced its National Museum of African American...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema mh JK anatarajiwa kubadilisha wakurugenzi wa mashirika ya umma muda si mrefu kuanzia wiki ijayo na hasa wale anaowahisi awako nae pamoja....habari zaidi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Half of Norwegian aid funds misused - report 2009-04-16 16:20:51 By Guardian Reporter A total of US$30 million (over 36bn/-) given to Tanzania as aid by the Norwegian government in the past 12...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana ndugu naomba msaada kwenye tuta kidogo;hivi karibuni kumezuka kampuni zinaitwa praidi;deci na nyinginezo hatimae serikali wakaamua kuuiita DECI upatu ambao hautakiwi;kidogo inanichanganya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jeshi la polisi mkoani Kigoma wilayani Kibondo limewakomesha wachama wa upinzani waliokuwa wakileta vurugu kabla ya kuanza kwa uchaguzi wa marudio katika kata ya Kitahana. Hatua hiyo ya polisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu,wakati wa malumbano ya Mwakyembe na Rostam,mh.Ole Sendeka aliahidi kutoa bomu la mwisho la kuwasambaratisha mafisadi.Mbona hilo bomu mpaka leo sijalisikia au ni mimi peke yangu?Mzee Ole...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya DECI kusitisha huduma zake check hii Mwananchi jana lilifika katika taasisi ya Tumaini Revolving Fund (TRFI) iliyo Tabata jijini Dar es Saam na kushuhudia wakazi mbalimbali wakiomba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Melody ya wimbo wa Taifa la Tanzania, inafafana kabisa na nyimbo za Taifa za Zambia na A. Kusini. Hivi nani alimwigilizia mwenzake?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bajaj sasa kuwa 'ambulance' SERIKALI itatoa pikipiki za magurudumu matatu (bajaj) kwa vituo vyote vya afya na zahanati nchini, ili kukabiliana na tatizo la usafiri kwa wagonjwa...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
These numbers are scary Uganda’s population explosion a time bomb - new report Allan Ssekamatte Uganda’s rapid population growth is putting significant pressure on the country’s food...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF. Ni wapi tunaweza kupata statistics zinazoonyesha ni uchumi kiasi gani unapotea kwa kusababisha na msongamano wa magari au traffic jam. Unatoka nyumbani saa 12:00 unafika kazini saa 2:30...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kawaida mzee wa pangua pangua kapangua wakuu wa mikoa. Dr. Ishengoma from pwani to ruvuma, hajjat amina said iringa to pwani, mr. Abdulazizi from tanga to iringa, monica mbega ruvuma to...
0 Reactions
67 Replies
11K Views
Katika hali inayoonyesha kuwa ni JITIHADA ZA KUFIFISHA MOTO WA VITA YA UFISADI nchini, mafisadi wanajipanga kumng'oa Mbunge wa Kishapu ndugu Fredrick Tungu Mpendazoe. Mpaka sasa Mafisadi...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
NEW LODGE TO OPEN IN SERENGETI A new 75-bedroom safari lodge is due to open in June this year in the Serengeti National Park. The information was given by Kempinski Hotels in Dar es Salaam, who...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtakuwa mnashangaa kuona meli zimanza kujazana tena..basi ukweli ni kuwa zilishakaa muda mrefu na zikaamua kuondoka sasa wakaongopewa na TICS kuwa zimepona kumbe zimeharibika zote wameishia...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Friday April 17, 2009 Local News Jeetu referred to Muhimbili for medical verification DAILY NEWS Reporter, 17th April 2009 @ 10:50, Total Comments: 0, Hits: 78 The Kisutu Resident’s...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Refund cash to new clients, Deci ordered By Mkinga Mkinga and Florence Mugarula THE CITIZEN The troubled Development Entrepreneurship for Community Initiative (Deci) should be ordered...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilikuwa shambani nalima jioni ya Alhamisi karibu na kisiwa cha Belle Isle nje ya Jiji la Detroit. Mara nikasikia sauti iliyoniita na kusema ‘Mwanakijiji!' nikaitika ‘Naam!"...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Click: UFAHAMU: JULIUS NYERERE INTELLECTUAL FESTIVAL to view a detailed programme of the Festival.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Wakubwa nipo ulevini Ila nimeirusha hii baada ya kuona DECI imeshazama hatimaye baada ya wadadisi na wadakuzi kuichambua inavyopaswa. Mnaifahamu hii POWER CLUB?? watu wanaliwa kimya kimya maana...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Back
Top Bottom