Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Tunamuomba Rais wa Tanzania aliyeko madarakani ampatie Mh Dr W.Slaa ulinzi wa uhakika kutokana na nafasi anayogombea na ukizingatia yuko kwenye hali ya hatari kuliko wakati mwingine wowote.
Hili ni Ombi tuu na wala si lazima.Nimejihisi kuwa Dr Slaa anaweza kupata matatizo kama aliyopata Rais wetu Kikwete kule mwanza kuvamiwa jukwaani na kwingine kutupiwa mawe.
Dr Wilbroad Slaa ni mpambanaji aliyejitolea maisha yake kuhakikisha analeta mabadiliko ya kisiasa hapa Tanzania.Hata rais Kikwete anajua haya.Kwa hiyo nashauri apatiwe usafiri na ulinzi wa kimataifa unaoendana na wakati ikiwa ni pamoja na Bullet proof Tshirt.
Hili ni Ombi tuu na wala si lazima.Nimejihisi kuwa Dr Slaa anaweza kupata matatizo kama aliyopata Rais wetu Kikwete kule mwanza kuvamiwa jukwaani na kwingine kutupiwa mawe.
Dr Wilbroad Slaa ni mpambanaji aliyejitolea maisha yake kuhakikisha analeta mabadiliko ya kisiasa hapa Tanzania.Hata rais Kikwete anajua haya.Kwa hiyo nashauri apatiwe usafiri na ulinzi wa kimataifa unaoendana na wakati ikiwa ni pamoja na Bullet proof Tshirt.