WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Hivi mwananchi anapopokea tshirt na khanga anatarajia kiongozi aje amfanyie lipi zaidi atakapochaguliwa?
Ni nini kitambana kutumikia wananchi ilhali alichaguliwa kwa bei?
Hivi mwananchi unanunuliwa kwa kipande cha kitambaa?
Maendeleo yatapatikana vipi kama wananchi wanakula kabla ya kutoa Kura?
TAKUKURU wana kazi ya ziada... rushwa ziko za aina nyingi sana siyo lazima pesa, siyo lazima mtu agawe tshirt na khanga au baiskeli hadharani. Wanaokamatwa ni wale wenye bahati mbaya tu..wako wengi wanafanya vitu vyao kama kawaida bila hofu kabisa....
Wapo wanaotumiwa kwenye account za bank, wako wanaotumiwa kwa M-Pesa... hawa watakamatwa vipi?
Ni nini kitambana kutumikia wananchi ilhali alichaguliwa kwa bei?
Hivi mwananchi unanunuliwa kwa kipande cha kitambaa?
Maendeleo yatapatikana vipi kama wananchi wanakula kabla ya kutoa Kura?
TAKUKURU wana kazi ya ziada... rushwa ziko za aina nyingi sana siyo lazima pesa, siyo lazima mtu agawe tshirt na khanga au baiskeli hadharani. Wanaokamatwa ni wale wenye bahati mbaya tu..wako wengi wanafanya vitu vyao kama kawaida bila hofu kabisa....
Wapo wanaotumiwa kwenye account za bank, wako wanaotumiwa kwa M-Pesa... hawa watakamatwa vipi?