Msomi Ajitosa Udiwani Kata Ya Magomeni
1.Jengo la ofisi ya CCM Kata ya Magomeni.
2.Ndugu Ally Zawadi {kulia} ambaye ni mhadhiri(Lecturer) wa chuo cha usimamizi wa fedha {IFM} akichukua fumu...
Wana-JF wenzangu, nisaidieni, maana nimechanganyikiwa. Hivi karibuni vyombo vya habari, hususan magazeti, vimekuwa vikiripoti vituko, vurugu, umafia na ufisadi katika kampeni za uchaguzi za CCM...
Wanajamvi
Naomba tujipe changamoto ya kuchagua any Decsion Making Post/Position nje ya urais. Baada ya kuchagua tutaje vission/mission zetu katika kutekeleza kazi kazi hiyo post. Jaribu...
Wanajfnina kiu ya kujua nani atamrithi dk.slaa karatu.nia zaidi kuweza kufahamu jinsi chadema itakavyo weza kuweka mtu ambaye hatatuangusha,je kuna mwana jf anayefahamu? Help
Jamani kazi iliyobaki rahisi na tamu ni Ubunge tu!!
Wakati Mwenyekiti wa chama Tawala CCM alipokimbiza muswada wa sheria ya gharama za uchaguzi, leo CCM inazidi kujiingiza yenyewe kwenye tanuri...
Ndugu wana JF salaamu. Mimi si mwanasiasa, ila naomba ushauri/majibu kwenu.
Kutokana na taharifa zinazotolewa na vyombo vya habari, pomoja na baadhi ya post ambozo zimewekwa humu JF, nimekuwa...
Na Maggid Mjengwa,
ZAMANI sana kulikuwa na bendi ya muziki wa dansi ya Kiwanda Cha Urafiki. Iliitwa Urafiki Jazz Band, wana Chakachua. Naam. Wanamuziki wale waliweza kuchakachua ala za...
Tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu-2010; haya maneno ya Justice Scalia yanamaana kubwa sana kwa wapiga kura wote:
"[C]ampaign promises areby long democratic traditionthe least binding form of...
Je, kauli hii iliyowahi tolewa na Socrates PLATO, mmoja wa wanafalsafa bingwa wa kale wa Ugiriki,inatupa funzo lolote sisi wa Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi...
Aliyekuwa miongoni mwa waasisi na mwanachama front liner wa Chama Cha Jamii CCJ, Mashaka Seif, asubuhi ya leo ametangaza rasmi kujitoa CCJ na kuhamia TLP, katika mkutano na waandishi wa habari...
MWAKA 1919, aliyekuwa Rais wa Marekani, Woodrow Wilson, aliugua kiharusi kilichopunguza uwezo wake wa kufanya kazi.
Katika kipindi hicho, mkewe, Edith, inasemwa ndiye aliyekuwa akifanya kazi...
Mbunge wa zamani wa jimbo la ukonga Mahanga ameamua kurejea jimbo jipya la Segerea baada ya kuona maji yapo shingoni..
Kwa sasa akiwa na kiasi kikubwa cha fedha za kumaliza ubunge na uwaziri...
HOPE DIES LAST
Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa...
Taifa la Tanzania halitaongozwa tena na wapiga ramli na washirikina.
Kiongozi mzuri ni wewe chukua hatua sasa, fomu za uongozi kupitia chama BORA zipo hapa chini.
Vifungu viwili vya bajeti ya wizara ya sheria na mambo ya katiba vimepangiwa shilingi milioni 900 kila kimoja kwa ajili ya mahakama ya kadhi. Wakipitia kifungu kwa kifungu, bunge wa la muungano wa...
Kampuni hii ambayo inatajwa kuwa inamilikiwa na mwanamama, kwa nini ipewe nafasi ya ukiritimba kwenye sekta ya kutengeneza nambari ya magari?
Kipindi hiki cha soko huria, kwanini wawekezeji...
Vyanzo vya ndani toka Wizara ya Habari, Michezo na Utamaduni ambayo ndiyo inasimamia tasnia ya habari vinadokeza kuwa Serikali imechukizwa sana na makala iliyoandikwa na gazeti la Mwanahalisi...
Court backs S Africa exile vote
BBC News Online
Britain has a large South African diaspora community
South Africans living abroad should be allowed to vote, according to a ruling by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.